Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mimi siogopagi mambo hayo,nikifika huko lazima niwaonyeshe kuwa mimi sio mtumwa wao.Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia