Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia
Much respect hapa mahali...paone hivyo hivyo na vijumba vyake hivyo...Gambosh cha mtoto...wazee wa vilinge watanielewa vema...hapo ni international airport backup yake na control tower viko msata[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83]Nilipofika hapa nilipewa codes za kuondoka salama, ila nilielekezwa kijiji cha jirani ambako ndio funga kazi...nilitamani kukitembelea pia, ni masaa kama mawili hivi. Unaingia ndani huko, na ndio nikafanikiwa kupata japo hiyo picha hapo juu
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]Muulizeni Mshana
Tanga wilaya ya HandeniTujuzane wakuu.. Mkoa gan n wilaya gani!?
Mkuu na komkonga je au hajapata habari zake, huko ziguani wacha maana kuna wataalamu wa kila fani hapo kwamsisi mpaka bunduki zinatengenezwa.Much respect hapa mahali...paone hivyo hivyo na vijumba vyake hivyo...Gambosh cha mtoto...wazee wa vilinge watanielewa vema...hapo ni international airport backup yake na control tower viko msata[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
Huo ukanda kilingeni unaitwa central corridor haurembi haukosei haubahatishi wala haurembiMkuu na komkonga je au hajapata habari zake, huko ziguani wacha maana kuna wataalamu wa kila fani hapo kwamsisi mpaka bunduki zinatengenezwa.