Kwamsisi

Kwamsisi

Kwamkanje, Kwediaziwa, Kwamgwe, Kwanwande, Kwabaya ndio mitaa ya kujidai hiyoooo
 
Much respect hapa mahali...paone hivyo hivyo na vijumba vyake hivyo...Gambosh cha mtoto...wazee wa vilinge watanielewa vema...hapo ni international airport backup yake na control tower viko msata[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] itabidi chato international airport wake wachukue ujuzi hapo
 
Hapo kwa msisi kulikuwa na mzee anaitwa mzee hamisi ...mzee alikuwa nyoko mbaya...wakulu walikuwa wanamtumia sana huyu mzee..alikuwa ndio mfalme wa wachawi kwa msisi yote..unaambiwa alivyokufa wanakijiji hawakuamini na walifanya bionge la sherehe....ukoo wao wote ulikuwa wa kichawi hata Dada zake na binti zake wote waliolewa na wachawi..kuna mchawi mmoja anaitwa mungu wa kabili huyu amemumoa mjukuu wake
huyu mungu was kabili kama kuna mdada alishaleta story take kwenye jukwaa flani alimtaja sana huyu mungu was kabili.
 
Nadhani ndio huy..QUOTE="sunola, post: 17235107, member: 151814"]huyu mungu was kabili kama kuna mdada alishaleta story take kwenye jukwaa flani alimtaja sana huyu mungu was kabili.[/QUOTE]
Nadhani ndio Huyo Huyo ni mchawi balaa..akisema kesho hufiki hufiki kweli
 
Hahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.
hawakuwataka tu......
 
Back
Top Bottom