Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulienda kupata tiba mubadala?Hapana, mimi c wa hapo mimi nilienda na mambo yangu tuu, ila hapo sikukaa sana niliingia vijiji vya ndani zaidi...ilikuwa ni safari ya kujionea kuliko kuhadithiwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] itabidi chato international airport wake wachukue ujuzi hapoMuch respect hapa mahali...paone hivyo hivyo na vijumba vyake hivyo...Gambosh cha mtoto...wazee wa vilinge watanielewa vema...hapo ni international airport backup yake na control tower viko msata[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
huyu mungu was kabili kama kuna mdada alishaleta story take kwenye jukwaa flani alimtaja sana huyu mungu was kabili.Hapo kwa msisi kulikuwa na mzee anaitwa mzee hamisi ...mzee alikuwa nyoko mbaya...wakulu walikuwa wanamtumia sana huyu mzee..alikuwa ndio mfalme wa wachawi kwa msisi yote..unaambiwa alivyokufa wanakijiji hawakuamini na walifanya bionge la sherehe....ukoo wao wote ulikuwa wa kichawi hata Dada zake na binti zake wote waliolewa na wachawi..kuna mchawi mmoja anaitwa mungu wa kabili huyu amemumoa mjukuu wake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] itabidi chato international airport wake wachukue ujuzi hapo
Nini hii?Ooooosh, shingakiozoshingandima, ngukunguku keianga mwesoghoo, ikiangamwesoghoo neihaatiwe mghongo idwike sudi, naamba nkiozo ani cha nguku ichi, nhiiiihaaa
Sii ajabu kijiji hicho, ccm ilipata kura za kishindo
Handeni mkoani Tanga.Tujuzane wakuu.. Mkoa gan n wilaya gani!?
Kwasunga si ndio pale mbele ya Korogwe ambapo reli inakata barabara?Kwamsisi cha mtoto, kuna sehemu inaitwa kwasunga, mmmmmh acheni tu....
Kibweshuna cha zumbewakwamsisi neeicho ushe teie teieNini hii?
Huo mti nikiupata natia nia ya kuwala mademu wote wakali wa bongo.
Mkuu kuna kamti kanaitwa pesa, ukikapata utatafuna hata clintonHuo mti nikiupata natia nia ya kuwala mademu wote wakali wa bongo.
hako kamti muhimu sana mkuu, hebu katafute tufanye biashara.Mkuu kuna kamti kanaitwa pesa, ukikapata utatafuna hata clinton
hawakuwataka tu......Hahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.