Kwangu Mimi Mghana Kwesi Appiah ndiyo alikuwa sahihi kuwa Kocha Mpya wa Simba SC kuliko huyu Mzungu wenu ambaye najua hatodumu

Kwangu Mimi Mghana Kwesi Appiah ndiyo alikuwa sahihi kuwa Kocha Mpya wa Simba SC kuliko huyu Mzungu wenu ambaye najua hatodumu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwesi Appiah ni....

1. Mwafrika Mwenzetu
2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni )
3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC
4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno
5. Angekuwa ni mwepesi kuendana na Tamaduni zetu kwani Watanzania hatupishani kivile na Ghana
6. Angetusaidia hata katika Kuwakuza vyema Vijana ambako ndiko amebobea na amepatia Mafanikio pia
7. Asingetukamua Pesa nyingi kama ambayo huyu Mzungu nasikia ametukama hadi Kusinya Kandarasi yake

Nilichogundua GENTAMYCINE ni kwamba tulikuwa hatutafuti Kocha bali tulikuwa tunamtafuta Mtu tu kutoka Ulaya ili 'Kuwakoga' Watani zetu Yanga SC kwani hata hawa Yanga SC ambao 'Wametuhenyesha' mwaka huu na nimeshatabiri kuwa wataenda 'Kutuhenyesha' tena Msimu ujao Mafanikio yao yameletwa na Kocha kutoka hapa hapa Afrika nchini Tunisia.

Huu Uzi wangu ukikukwaza tafuta upesi Sumu ya 'Panya' au ya 'Nzige' popote ikorogee katika Kikombe inywe kisha Ufe tu.
 
Kungekuwa na kitego au kamati ya ushauri kwa uendeshaji wa club ya simba hiyo nafasi ingekufaa wewe uiongoze ila japo ungepigwa chini mapema sana
 
GENTAMYCINE sjawahi Kukosea na huwa sina desturi ya Kukosea. Msimamo wangu Kocha Mghana alikuwa ni sahihi sana.
Kama hukubaliani na maamuzi ya viongozi wetu wa timu, hamia nchini kwako Rwanda ukaishangile APR au KIYOVU.

Na kwa taarifa yako, hata Kocha wetu Seleman Matola tutakuwa naye msimu ujao kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kamati ya ufundi.
 
Kwesi Appiah ni....

1. Mwafrika Mwenzetu
2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni )
3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC
4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno
5. Angekuwa ni mwepesi kuendana na Tamaduni zetu kwani Watanzania hatupishani kivile na Ghana
6. Angetusaidia hata katika Kuwakuza vyema Vijana ambako ndiko amebobea na amepatia Mafanikio pia
7. Asingetukamua Pesa nyingi kama ambayo huyu Mzungu nasikia ametukama hadi Kusinya Kandarasi yake

Nilichogundua GENTAMYCINE ni kwamba tulikuwa hatutafuti Kocha bali tulikuwa tunamtafuta Mtu tu kutoka Ulaya ili 'Kuwakoga' Watani zetu Yanga SC kwani hata hawa Yanga SC ambao 'Wametuhenyesha' mwaka huu na nimeshatabiri kuwa wataenda 'Kutuhenyesha' tena Msimu ujao Mafanikio yao yameletwa na Kocha kutoka hapa hapa Afrika nchini Tunisia.

Huu Uzi wangu ukikukwaza tafuta upesi Sumu ya 'Panya' au ya 'Nzige' popote ikorogee katika Kikombe inywe kisha Ufe tu.
Mkuu uko sahihi soka la africa linahitaji sana makocha wa humu humu ndani africa wa nje hawana inshu natabiri huyu mzee hamalizi msimu
 
Kwesi Appiah ni....

1. Mwafrika Mwenzetu
2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni )
3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC
4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno
5. Angekuwa ni mwepesi kuendana na Tamaduni zetu kwani Watanzania hatupishani kivile na Ghana
6. Angetusaidia hata katika Kuwakuza vyema Vijana ambako ndiko amebobea na amepatia Mafanikio pia
7. Asingetukamua Pesa nyingi kama ambayo huyu Mzungu nasikia ametukama hadi Kusinya Kandarasi yake

Nilichogundua GENTAMYCINE ni kwamba tulikuwa hatutafuti Kocha bali tulikuwa tunamtafuta Mtu tu kutoka Ulaya ili 'Kuwakoga' Watani zetu Yanga SC kwani hata hawa Yanga SC ambao 'Wametuhenyesha' mwaka huu na nimeshatabiri kuwa wataenda 'Kutuhenyesha' tena Msimu ujao Mafanikio yao yameletwa na Kocha kutoka hapa hapa Afrika nchini Tunisia.

Huu Uzi wangu ukikukwaza tafuta upesi Sumu ya 'Panya' au ya 'Nzige' popote ikorogee katika Kikombe inywe kisha Ufe tu.
Hivi ni lazima tumchukue kocha kutoka Serbia kweli?
 
Natamani kungekuwa na option ya kublock post zako ningekuwa nimeshakublock
 
GENTAMYCINE sjawahi Kukosea na huwa sina desturi ya Kukosea. Msimamo wangu Kocha Mghana alikuwa ni sahihi sana.
Wenzenu hawaoni maoni yenu badala yake wanashangilia Mayele kutokuwa mfungaji bora. Timu imepigwa huko mbeya, Leo imetoka sare na timu iliyoshuka daraja lakin hawazungumzii udhaifu wa timu yao
 
Back
Top Bottom