Kwangu Mimi Mghana Kwesi Appiah ndiyo alikuwa sahihi kuwa Kocha Mpya wa Simba SC kuliko huyu Mzungu wenu ambaye najua hatodumu

Kwangu Mimi Mghana Kwesi Appiah ndiyo alikuwa sahihi kuwa Kocha Mpya wa Simba SC kuliko huyu Mzungu wenu ambaye najua hatodumu

Kwesi Appiah ni....

1. Mwafrika Mwenzetu
2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni )
3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC
4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno
5. Angekuwa ni mwepesi kuendana na Tamaduni zetu kwani Watanzania hatupishani kivile na Ghana
6. Angetusaidia hata katika Kuwakuza vyema Vijana ambako ndiko amebobea na amepatia Mafanikio pia
7. Asingetukamua Pesa nyingi kama ambayo huyu Mzungu nasikia ametukama hadi Kusinya Kandarasi yake

Nilichogundua GENTAMYCINE ni kwamba tulikuwa hatutafuti Kocha bali tulikuwa tunamtafuta Mtu tu kutoka Ulaya ili 'Kuwakoga' Watani zetu Yanga SC kwani hata hawa Yanga SC ambao 'Wametuhenyesha' mwaka huu na nimeshatabiri kuwa wataenda 'Kutuhenyesha' tena Msimu ujao Mafanikio yao yameletwa na Kocha kutoka hapa hapa Afrika nchini Tunisia.

Huu Uzi wangu ukikukwaza tafuta upesi Sumu ya 'Panya' au ya 'Nzige' popote ikorogee katika Kikombe inywe kisha Ufe tu.
Popoma umebwabwaja tu hapa,
Sasa huyo mghana muajiri wewe ili aende kuifundisha familia yako huo uchawi unaouabudu,simba sc imemuajili mzungu sababu wanataka kucheza soka sio uchawi....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu uko sahihi soka la africa linahitaji sana makocha wa humu humu ndani africa wa nje hawana inshu natabiri huyu mzee hamalizi msimu
Kocha gani mzawa ameifikisha Simba robo fainal
 
Kocha gani mzawa ameifikisha Simba robo fainal
Abdallah King Kibaden mwaka 1993 kama Mzawa hakuifikisha Simba SC Fainali ya Shirikisho? Je, Shirikisho siyo Kombe Kubwa, la Heshima na lenye Utajiri pia?

Mkijijua hamna Akili na Kumbukumbu msiwe mnachangia Mada za Akili Kubwa hapa JamiiForums sawa?
 
Hata mimi nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa,Kwasi angetufaa sana,sijui kwanini tuna shobokea sana wahuni wa kizungu
 
Abdallah King Kibaden mwaka 1993 kama Mzawa hakuifikisha Simba SC Fainali ya Shirikisho? Je, Shirikisho siyo Kombe Kubwa, la Heshima na lenye Utajiri pia?

Mkijijua hamna Akili na Kumbukumbu msiwe mnachangia Mada za Akili Kubwa hapa JamiiForums sawa?
Umeulizwa kocha we unahara vitu vingine, aiseeh[emoji23]
 
Back
Top Bottom