GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siioni Simba SC ikienda kufanya vyema.Serbia ni cheap labour njaa sana kuliko Misri, Morroco, Algeria,Tunisia, South Africa.
Usiwe unafungua uzi zake, mbona simpo tuNatamani kungekuwa na option ya kublock post zako ningekuwa nimeshakublock
Kocha wa Serbia mwenye uwezo na anayejua vzr soka la Africa ni MichoHivi ni lazima tumchukue kocha kutoka Serbia kweli?
Popoma umebwabwaja tu hapa,Kwesi Appiah ni....
1. Mwafrika Mwenzetu
2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni )
3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC
4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno
5. Angekuwa ni mwepesi kuendana na Tamaduni zetu kwani Watanzania hatupishani kivile na Ghana
6. Angetusaidia hata katika Kuwakuza vyema Vijana ambako ndiko amebobea na amepatia Mafanikio pia
7. Asingetukamua Pesa nyingi kama ambayo huyu Mzungu nasikia ametukama hadi Kusinya Kandarasi yake
Nilichogundua GENTAMYCINE ni kwamba tulikuwa hatutafuti Kocha bali tulikuwa tunamtafuta Mtu tu kutoka Ulaya ili 'Kuwakoga' Watani zetu Yanga SC kwani hata hawa Yanga SC ambao 'Wametuhenyesha' mwaka huu na nimeshatabiri kuwa wataenda 'Kutuhenyesha' tena Msimu ujao Mafanikio yao yameletwa na Kocha kutoka hapa hapa Afrika nchini Tunisia.
Huu Uzi wangu ukikukwaza tafuta upesi Sumu ya 'Panya' au ya 'Nzige' popote ikorogee katika Kikombe inywe kisha Ufe tu.
Kocha gani mzawa ameifikisha Simba robo fainalMkuu uko sahihi soka la africa linahitaji sana makocha wa humu humu ndani africa wa nje hawana inshu natabiri huyu mzee hamalizi msimu
Abdallah King Kibaden mwaka 1993 kama Mzawa hakuifikisha Simba SC Fainali ya Shirikisho? Je, Shirikisho siyo Kombe Kubwa, la Heshima na lenye Utajiri pia?Kocha gani mzawa ameifikisha Simba robo fainal
Umeulizwa kocha we unahara vitu vingine, aiseeh[emoji23]Abdallah King Kibaden mwaka 1993 kama Mzawa hakuifikisha Simba SC Fainali ya Shirikisho? Je, Shirikisho siyo Kombe Kubwa, la Heshima na lenye Utajiri pia?
Mkijijua hamna Akili na Kumbukumbu msiwe mnachangia Mada za Akili Kubwa hapa JamiiForums sawa?
Naona unatafuta wa 'Kukubenjua' jioni hii.Umeulizwa kocha we unahara vitu vingine, aiseeh[emoji23]
We endelea kuleta habari za upinde wa mvua hapa sasa, watu wanaongea mswala ya msingi we unawaza kubenjuana tu.Naona unatafuta wa 'Kukubenjua' jioni hii.