GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Marehemu Anna Shirima popote ulipo sasa hapo Kaburini ulikozikwa Mkoani Kilimanjaro GENTAMYCINE nakutunuku Tuzo ya Ushujaa Uliotukuka kwa Kitendo chako kizuri na cha Kimedani pia cha Kujiua baada tu Kufumaniwa na Mumeo ukiwa 'Unakazwa' na Hawara yako.
Wala hukutaka Mambo mengi au kupotezeana muda na Mausumbufu kibao ila haraka sana ukaona wakati Mumeo anahangaika Kumuua Mgoni wake kwa Kitu chenye Ncha Kali na Kufanikiwa na Wewe ukaona uige ghafla Ujasiri wa 'Kipalestina' wa Kujitoa Mhanga na Kujiua. Nakupongeza mno Marehemu.
Halafu Wanaume wa Mkoani Kilimanjaro ( Moshi ) ambao kwa Taarifa yenu nyie ni Mashemeji zangu ( Kaka yangu ameoa ) huko kwanini Siku hizi mmekuwa 'Goigoi' kwa Wake zenu kiasi kwamba hizi Kesi za Wanawake wenu 'Kuwasaliti' mara kwa mara zinazidi tu Kuongezeka?
Tafadhali Wanaume wa Mkoani Kilimanjaro ( Wachagga ) kama hamuwezi 'Kuwaridhisha' vyema Wake zenu ( hasa Vitandani ) basi turuhusuni Sisi Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) tuje tuwachukue kama ambavyo Dada yenu ( Mke wa Kaka yangu ) ambaye tokea 'aolewe' na Kaka yangu ni Furaha tupu mpaka anawalazimisha na Nduguze 'Wachagga' waolewe na Wanaume wa Mkoani Mara ( Musoma ) ambao ndiyo wanasifika kwa kujua Kupenda, Kuhudumia na Kukuna sawasawa kuliko Wanaume wote nchini Tanzania.
Mashemeji 'Kutaniwa' kidogo lazima.
Habari kamili ya hii ipo katika Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lenye Uweledi la MWANANCHI.
Wala hukutaka Mambo mengi au kupotezeana muda na Mausumbufu kibao ila haraka sana ukaona wakati Mumeo anahangaika Kumuua Mgoni wake kwa Kitu chenye Ncha Kali na Kufanikiwa na Wewe ukaona uige ghafla Ujasiri wa 'Kipalestina' wa Kujitoa Mhanga na Kujiua. Nakupongeza mno Marehemu.
Halafu Wanaume wa Mkoani Kilimanjaro ( Moshi ) ambao kwa Taarifa yenu nyie ni Mashemeji zangu ( Kaka yangu ameoa ) huko kwanini Siku hizi mmekuwa 'Goigoi' kwa Wake zenu kiasi kwamba hizi Kesi za Wanawake wenu 'Kuwasaliti' mara kwa mara zinazidi tu Kuongezeka?
Tafadhali Wanaume wa Mkoani Kilimanjaro ( Wachagga ) kama hamuwezi 'Kuwaridhisha' vyema Wake zenu ( hasa Vitandani ) basi turuhusuni Sisi Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) tuje tuwachukue kama ambavyo Dada yenu ( Mke wa Kaka yangu ) ambaye tokea 'aolewe' na Kaka yangu ni Furaha tupu mpaka anawalazimisha na Nduguze 'Wachagga' waolewe na Wanaume wa Mkoani Mara ( Musoma ) ambao ndiyo wanasifika kwa kujua Kupenda, Kuhudumia na Kukuna sawasawa kuliko Wanaume wote nchini Tanzania.
Mashemeji 'Kutaniwa' kidogo lazima.
Habari kamili ya hii ipo katika Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lenye Uweledi la MWANANCHI.