Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

Mwanamke akichepuka- Hafikishwi kileleni
Mwanaume akichepuka ni tamaa zake.
Mwanamke akiamua kuchepuka anachepuka tu hata umfikishe kileleni mara 5.
Shida kubwa ni kuoa wake za watu. Unataka kuoa, unamkuta mwanamke kumbe wanajamaa wanapendana sana halafu jamaa hana uwelekeo wa kumuoa matokeo yake hata baada ya kuolewa, anaendelea kuchepuka na jamaa.
Hapa umfikishe au usimfikishe hisia zipo kwa jamaa. Kingine ni tamaa za wanawake. Nina ushahidi kwa hili 100%
Itakua maana hapo mwanaume amejiangalia yeye tu.
 
Sahihi kabisa, nishawahi kipiga shoo kali nikiwa na konyagi kichwan, piga shoo usiku kucha! Asubuh kumekucha tumeshinda mwendo wa kula na kupiga shoo saa kumi na mbili demu ananambia siwezi kulala leo hapa utaniua, kaondoka kachoka balaa! Mida ya saa nne usiku nimetoka zangu misele nikapita kwake kumpelekea zawadi flan nafika hayupo! Daah kuja kuchunguza kaenda kukazwa na jamaa flan hivi! Nikachoka!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Hapo ilipaswa ufurahi kuwa kuna Mwamba anakula kiporo chako.
 
Hakuna mkurya anae jua Kukuna zaidi kwanza hata kuandaaa wake zao Huwa hawawezi wao Utaskia Mama bhoke njooo nkutwange.
 
Vipi kaka mkubwa,mbona unamuadhibu kiasi hiki?
Bingwa Mstaafu wa Matusi hapa Jamvini unadhani naweza Kutishika au hata tu Kuumizwa na haya Matusi yake Mkuu?

Na nimemuambia aniongezee mengine kwani hayo hayajanitosha na kwa Uhodari wangu pamoja na Matusi hapo wala bado sijaona Tusi lolote lile.
 
Hakuna mkurya anae jua Kukuna zaidi kwanza hata kuandaaa wake zao Huwa hawawezi wao Utaskia Mama bhoke njooo nkutwange.
Tafadhali kama Wewe siyo Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mnyamwezi au Mkara ( ambao Kimsingi ndiyo Watani zangu Mimi Mzanaki GENTAMYCINE ) niombe Radhi upesi sana.
 
Upo sahihi kiasi fulani.Ila trust me,usipomkaza mkeo kisawa sawa utagongewa mpaka na matango.
Wanaume wa kichaga huko kwao, wenyewe wapo bize na mbege anarudi nyumbani yupo chwiii kwanini asigongewe mwanamke wake,😔😔, Mfano Rombo wanawake wanalia kila siku waume zao hawawezi shoo😅😅
 
Biblia inasema Mungu hafurahii kifo cha Mwenye dhambi

Mleta unafurahia kifo cha mwenye dhambi inaonyesh wazi una mapepo machafu nenda kwa Mwamposya akayatoe hayo mapepo yalikujaaa na kukufanya ufurahie kifo cha mwenye dhambi
 
Bingwa Mstaafu wa Matusi hapa Jamvini unadhani naweza Kutishika au hata tu Kuumizwa na haya Matusi yake Mkuu?

Na nimemuambia aniongezee mengine kwani hayo hayajanitosha na kwa Uhodari wangu pamoja na Matusi hapo wala bado sijaona Tusi lolote lile.
Acha atukane tani yake ila wajanja tushajua wapi utalipiziaa 😂😂😂😂

Ova
 
Halafu mwananchi wamekosea kuielezea hiyo stori, jamaa hakumfuma mkewe akigegedwa bali alifuma sms ndio akaanza kumchatisha mchizi huku mchizi akijua anachati na mke wa jamaa ndio jamaa akaandika text njoo home, mchizi bila kujua akatimba
Huyu jamaa nae fala mwanamke unajua mke wa mtu anakuambia njoo nyumbani na wewe unakwenda kama sio uboya ni nini? Hakuna mwanamme mjinga mbele ya mkewe.
 
Niliwaza jazba unazitoa wapi! Kumbe wewe ni mzaliwa wa Mara!! Gentamicin! Kuna zila ample za gentamicin 40 na 80 mg wewe uko wapi?
 
Back
Top Bottom