Kuna hatari ya kuifanya CHADEMA CCM-B, kama halijafanyika tayari.
Despite all the hullaballoo about change and all that jazz.
Afadhali na wewe umeshaliona hili.Nakubaliana na wewe na nilikuwepo. Nna wasi wasi Mods wameifuta kimoja ile thread, manake hawa kwa kumkingia kifua utasema mboni ya jicho
Kwa wabunge hao walionao hakuna change itakayotokea siku mbili hizi. Ujue Regia ni Waziri Kivuli wa Ajira na Vijana!
Pata picha ingelikuwa CHADEMA imeshinda huyo ndo angekuwa Waziri (?)
Haya mambo ya "she is beautiful" si ndiyo haya haya CHADEMA mnawabonda kila siku watu waliomchagua Kikwete kwa msingi wa kwamba eti ni "handsome"?. Sasa hiki chama ambacho kinatakiwa kuwa mbadala, kinatuletea habari hizi hizi?
Kama unaona "she is beautiful/ handsome" kanywe naye chai, hilo linahusiana nini na uongozi?
Muanishaji wa hii thread kwa kuweka upupu kama huu katika vitu alivyoangalia kumpa umahiri kashatuonyesha kwamba standards zake ziko chini kweli kweli.
Angalia huyu hata hajui kwamba chama ni watu, na kama wanachama wenyewe ndio hawa sioni ajabu CCM inakuwa vigumu kuitoa. Huwezi kutoa uozo kwa kuonyesha wananchi uozo mwingine, tuonyesheni mna chama mbadala kweli.
Nimeuliza Regia kafanya nini cha maana kupewa umahiri sijapata kitu chochote concrete. Is this the best you guys can do?
Kubali kwamba kuweka uzuri kama moja ya sifa ya umahiri wa mbunge umechemsha.
..Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kuisha na CCM kufanikiwa kuchakachua kura za jimbo la ifakara lakini bado akapata nafasi ya mbunge wa viti maalum kupitia CDM,japo ni mlemavu lakini kwa hakika amekuwa jembe la ukweli kwa chama changu makini cha CDM na amekuwa akiendelea kukubalika kwa kada mbalimbali za watu hasa vijana...ni watu wachache wenye hali kama ya dada huyu wanaoweza wakafanya kazi ya kukaa sehemu zaidi ya mwezi kwenye mapambano...amefanya hivyo Igunga na sehemu nyingine nyingi...
..Nimefanikiwa kumsikiliza live dada Regia kwenye mkutano mmoja hapa viwanja vya barafu DOM,she is energetic,patriotic,confident,responsible,and more than that she is beatiful....I like the way anavyoongea,ni makini na kwa hakika anaitaji pongezi kwa wabunge na wanasiasa wanawake kwa Tanzania....Na kwa chama changu amekuwa ni msaada sana kukijenga sehemu mbalimbali hapa nchini....
..Hongera dada Regia,keep it up!!
View attachment 44143View attachment 44144View attachment 44145View attachment 44146
jukwaa la celeb hili baba...
aliyeleta mada ni mtu mmoja... sidhani kama ni sahihi kuhukumu kila aliyesapoti political vision ya chadema basi ameshaangalia sura au tabasamu
katoa mtu mmoja, sasa unakomaa hukumumu... haya baba, mie siku zote nadhani lazima kuna kitu mlinyimana tu na yule ntoto wa watuThat puts it in perspective.
Lakini hata jukwaa la celeb watu hawamezi mambo jumla jumla bila ku present both sides of the story.
Na u celebrity wa muwakilishi wa watu uko subject to scrutiny ya watu.
Hasira zikizidi, unasupress CNS na reactions zinakuwa controlled more by the Endocrine System. Hormones ndiyo zina synopsize the synopsis.....matokeo yake yanaweza yakawa si mazuri.... hallucinations etc.Nilivyokuuliza "Morogoro inatoa passport? Wageni Watanzania?" Ukasema "Hapana kwa maswali yote."
Hapa naona unabadilisha kutoka "Hapana, wageni si watanzania" unaenda "Wageni si indigeneous Tanzania"
Au na wewe hii ni Freudian slip? Kwamba a non-indigeneous Tanzanian is not a Tanzanian? Ndiyo maana ukaona huu umahiri kwa sababu una admire ubaguzi wake?
Kwanza indigeneous Tanznian ni nani?
Hasira zikizidi, unasupress CNS na reactions zinakuwa controlled more by the Endocrine System. Hormones ndiyo zina synpsize the synopsis.....matokeo yake yanaweza yakawa si mazuri.... hallucinations etc.
Mimi nilidhani ni kina Bakresa.... Mtibwa and the likes.
I'm not classifying anybody, nilikuwa naangalia as a guest and didn't like the comments. I had to bring that up.
Sioni umahiri wake, I already made that clear, You lacked the inertia and I stepped in provocatively.
katoa mtu mmoja, sasa unakomaa hukumumu... haya baba, mie siku zote nadhani lazima kuna kitu mlinyimana tu na yule ntoto wa watu
Hongera sana Dada,nakutakia mafanikio mema ktk mwaka huu mpya ,mungu akupe nguvu na imani,
kama mungu ameweza kukunyanyua hadi hapo ulipo binadamu ni nani yeye aweze kukushusha?
The opposite is true
Labda wabongo sio wajinga hivyo kuwaweka bench kwa sasa mpaka waweze kuonyesha wako serious kwanza.
Kama CHADEMA wangesikiliza the likes of Kiranga na kuacha kupeana ubunge kwa kujuana na habari za affirmative action kuziweka mbele, wasingepata aibu kama hii.