Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika.
Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda.
Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na nikafurahia kabisa chakula.
Je, wewe mboga yako pendwa ni ipi?
Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda.
Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na nikafurahia kabisa chakula.
Je, wewe mboga yako pendwa ni ipi?