Kwangu Ugali bila mlenda ni chakula ambacho hakijakamilika

Kwangu Ugali bila mlenda ni chakula ambacho hakijakamilika

Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika.

Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda.

Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na nikafurahia kabisa chakula.

Je, wewe mboga yako pendwa ni ipi?
Mtelezo unanitisha. Hujatafuna tonge linateleza
 
Ugali Mlenda, samaki wa kukaanga na kachumbari acha kabisaaa
 
maandalizi ya mlenda hayo dadekii hapo sasa upate na nyama ya kukaanga au choma Au samaki kama sato wa kukaangwa/Choma na limao na kapilipili kwa mbali.ugali safi..😋mweeh mweeh!!
I miss Mwanza kwa kweli...!! hayo mazaga nilikua nayapata sana usukumani..Viva wasukuma
 

Attachments

  • FB_IMG_1590122991313.jpg
    FB_IMG_1590122991313.jpg
    32 KB · Views: 1
Back
Top Bottom