Super AMOLED
Senior Member
- Jan 18, 2020
- 160
- 230
ha ha ha ha haAhaha mie na huo mlenda ni vitu viwili tofauti
Mtelezo unanitisha. Hujatafuna tonge linatelezaMimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika.
Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda.
Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na nikafurahia kabisa chakula.
Je, wewe mboga yako pendwa ni ipi?
Mkuu nimecheka sana. Acha kabisa.upate mlenda, maziwa mtindi, iwe samaki, dagaa au nyama ya kuku waleee wa kienyeji basi usipokuwa makini utakula ndoo ya ugali.
Sent using Jamii Forums mobile app