Kwani Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) haiwezi kuwa na accounts za malengo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza?

Rahisi mtu kumhamasisha kuweka akiba ya kifedha kwaajili ya afya yake (bima ya afya) sababu ya afya haiepukiki.


Ni ngumu mzazi kuweka akiba ya elimu ya juu kwa style hiyo uitakayo labda aiweke kwenye akaunti yake binafsi au amfungulie mtoto wake, mathalani mtoto asipofika elimu ya juu, basi fedha zaweza tumika kwaajili ya masuala mengine, kuliko kwenda kuitumbukiza kwenye akaunti ya bodi maana yake matumizi yake ni kwaajili ya elimu ya juu tu.
 
Sawa utaratibu ubadilike kama wataona inafaa
 
Malalamiko yapo kila sehemu kwenye hizi taasisi haswa za serikali hata bodi ya mikopo inalalamikiwa mnooo.

Sasa je tunafanyaje?
Malalamiko yenye tija yafanyiwe kazi kwa manufaa mema ya taasisi husika na yale ya uzushi yawekwe kando
 
Mkuu, siwezi kuingia JF kuishauri taasisi binafsi. Huu ndio msimamo wangu.
 
Tatizo la huyo mzee baba ni kupenda mademu wa masaki na mbezi beach. Dada zetu wa uswahilini a.k.a kuku wa kienyeji hana time nao kabisa.
Sasa anapenda mademu wa kishua anazo pesa za kuhonga? Kama hauna hela mademu wazuri wote utaishia kuwaita shemeji.
 
Napata
Mkuu, siwezi kuingia JF kuishauri taasisi binafsi. Huu ndio msimamo wangu
Huu uzalendo wako unatusihi kila siku, ni kwa serikali ama kwa nchi?

Yaani unaipenda serikali ama waipenda nchi?

Kama waipenda nchi hutaona ugumu kutoa ushauri kwa sekta zote, lakini kama waipenda serikali utajikita kwa serikali tu.

Chaguo ni lako!
 
Mimi ninaipenda kwanza nchi yangu alafu serikali. Sekta binafsi siwezi kuishauri ndani ya jamiiforums. Ninaweza kuishauri nje ya mitandao ya kijamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…