Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Vyama vingine ni mamluki ya ccmNdugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Kama sera za mafly over zimeeleweka vyema inakuaje tena vibaka wenu wamekamatwa live na kura kwenye mabegi na vikapu ili kumnusuru mzee pombe??Uko sawa mkuu,pia uchaguzi wa mwaka huu tofauti kabisa na chaguzi zote,umekuja na aina mpya ya campaign.Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa ni juu ya maswala(ISSUES) na bla bla.
CCM walijiuza kwanza kwa kueleza WAMEFANYA nini miaka mitano iliyopita (wananchi wanatafakari na kuona kweli)Kiisha wanaomba kura na kuwaambia wanachi WATAFANYA nini miaka mitano ijayo(wananchi wanaona kuwa ni kweli maana waneona nini kimefanyika).
Ukienda upande wa pili hupati picha.
Mgombea kila kukicha issue ni yeye kupigwa risasi,kumtukana aliyeko madarakani,kulalamika,na kwa bahati mbaya sana kujichanganya,alichosema leo anasahau na kurukia kingine-mifano.
Kabla ya uchaguzi alisikika akisema watamshitaki Magufuli kwa kuwa amefanya campaign kwa miaka mitano baadaye amegeuka na kushangaa inakuwa ccm wameshinda wakati wao wamefanya mikutano mingi kuliko Magufuli?Sasa hapa uchue lipi?
Pili alisikika akisema wao wanataka maendeleo ya watu na sio vitu,Mara kauli hiyo akaisahau alipopand mwendokasi kwenda shopping kariakoo,akasikika akisema usafiri huu ni mzuri unapaswa uenezwe mji mzima EBO sasa ukienezwa mji mzima inakuwa maendeleo ya watu au vitu? Mtu kama huyu unamuelewa vipi?
Tatu amekuja na sera ya majimbo,alipobanwa kidogo tu hakuzungumza tena kuhusu majimbo.Sasa watu watakuelewaje?
Nne Kaja wa wakili Mr Armstadaum.Akawa mtovu wa nidhamu kupindukia anamwandikia mkuu wa nchi barua au waraka usiokuwa na heshima,anatisha na kusubutu kusema kwa nini CCM ipo wakati vyama vyote vilivyoleta uhuru vimekufa?
Ebo,mbona ahoji kwa nini Labour Party au Conservative vya Uiongereza bado vipo? Kwa nini haoji Republicane au Democratice vya marikani bado vipo?
Kamwe hiyo tabia yako ya upunguani ni urithi wako wa kudumu.
Kwa vile lengo ni kuwa na bunge la chama kimoja wabunge wa CHADEMA na ACT wa nini tena.
Subirini wananchi wenye mamlaka juu ya mstabali wao wawafikishie ujumbe.
Swali zuri kweli; ngoja nisubiri majibu yake.Ndugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Na mimi ninaowataka siyo wananchi?Wananchi ni sisi tumeamua hatuwataki akina Mbowe,Zitto et al
Kutoka kusema: Urais ni mgumu, ningejua nisingegombea, nililazimishwa tu. Natamani ingekuwa hata mwaka mmoja,..Uko sawa mkuu,pia uchaguzi wa mwaka huu tofauti kabisa na chaguzi zote,umekuja na aina mpya ya campaign.Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa ni juu ya maswala(ISSUES) na bla bla.
CCM walijiuza kwanza kwa kueleza WAMEFANYA nini miaka mitano iliyopita (wananchi wanatafakari na kuona kweli)Kiisha wanaomba kura na kuwaambia wanachi WATAFANYA nini miaka mitano ijayo(wananchi wanaona kuwa ni kweli maana waneona nini kimefanyika).
Ukienda upande wa pili hupati picha.
Mgombea kila kukicha issue ni yeye kupigwa risasi,kumtukana aliyeko madarakani,kulalamika,na kwa bahati mbaya sana kujichanganya,alichosema leo anasahau na kurukia kingine-mifano.
Kabla ya uchaguzi alisikika akisema watamshitaki Magufuli kwa kuwa amefanya campaign kwa miaka mitano baadaye amegeuka na kushangaa inakuwa ccm wameshinda wakati wao wamefanya mikutano mingi kuliko Magufuli?Sasa hapa uchue lipi?
Pili alisikika akisema wao wanataka maendeleo ya watu na sio vitu,Mara kauli hiyo akaisahau alipopand mwendokasi kwenda shopping kariakoo,akasikika akisema usafiri huu ni mzuri unapaswa uenezwe mji mzima EBO sasa ukienezwa mji mzima inakuwa maendeleo ya watu au vitu? Mtu kama huyu unamuelewa vipi?
Tatu amekuja na sera ya majimbo,alipobanwa kidogo tu hakuzungumza tena kuhusu majimbo.Sasa watu watakuelewaje?
Nne Kaja wa wakili Mr Armstadaum.Akawa mtovu wa nidhamu kupindukia anamwandikia mkuu wa nchi barua au waraka usiokuwa na heshima,anatisha na kusubutu kusema kwa nini CCM ipo wakati vyama vyote vilivyoleta uhuru vimekufa?
Ebo,mbona ahoji kwa nini Labour Party au Conservative vya Uiongereza bado vipo? Kwa nini haoji Republicane au Democratice vya marikani bado vipo?
Na mimi ninaowataka siyo wananchi?
Kwani police hatakiwi kushangaa
Hakika ni fedheha tupu! Banana Republic
Kuna watu ubongo umejaa kamasi, hakuna mtu anayelalamika kutokuchaguliwa kwa CDM au chama kingine chochote. Magufuli alikua na nafasi kubwa sana ya kushinda hata bila kuiba kura. Tunachopigania ni wizi wa kura waziwazi ambao wanataka tuuache tu bila ku-question. Mimi siwezi laumu Magufuli akishinda kwa asilimia 99 kama kweli watu wamempigia kura ila kukamatwa na mabegi ya kura mtu anayaingiza alafu unataka tukae tunacheka we utakua ni mshenzi wa kutupa, jinga kabisa la mwisho.
Ni kama darasani mpo kwenye mtihani, mwenzako anapewa majibu we hupewi chochote alafu unakaa unasema kwani lazima wote tupewe majibu, unasahau sheria zenyewe za mtihani zinasemaje. Watanzania acheni upumbavu, mkimuacha kwa hili alichofanya, kesho ataanza kufanya kila anachojisikia bila kuwajibishwa, utaenda kwenye mkutano wake ukicheka tu unasikia ua huyo alafu mtakaa tu mnamuangalia, kila mtu inabidi awajibishwe, kila mtu inabidi awe chini ya sheria, hatupo North Korea wala hatupo kwenye karne ya 10 huko enzi wa wafalme. Nenda kasome
Na mimi ninaowataka siyo wananchi?
Zito bado una muda umri unaruhusu subiri 2025.Mwenza mh kwishneNdugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
You can lead a horse to water, but you can't make it drink.Ndugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.