Kwani Edo Kumwembe ungesema taarifa hiyo umeitoa kwa GENTAMYCINE na JamiiForums ungepungukiwa nini?

Kwani Edo Kumwembe ungesema taarifa hiyo umeitoa kwa GENTAMYCINE na JamiiForums ungepungukiwa nini?

GENTA umepotelea wapi,au umeuliwa kwa siri huko UGANDA,au kipi kimekufanya ukae kmy? si tu tumekumisi bali pia tumezikumbuka taarifa zako nyeti ambazo huwa unatupenyezea. hakika rudi kiongozi uongoze na kutawala gurudumu la michezo nchini.
 
GENTA umepotelea wapi,au umeuliwa kwa siri huko UGANDA,au kipi kimekufanya ukae kmy? si tu tumekumisi bali pia tumezikumbuka taarifa zako nyeti ambazo huwa unatupenyezea. hakika rudi kiongozi uongoze na kutawala gurudumu la michezo nchini.
Popoma hana bando
Hawezi ku login Jamii forums
 
Popoma hana bando
Hawezi ku login Jamii forums
huwa anajisema yeye ni miongoni mwa watu wachache jeshini walioagizwa na gvnt kwenda UGANDA kwa kazi maalumu,na hupata likizo chache kurudi nchini,iweje huyu popoma akose bundle? kama kifo tungeona tanzia,labda ni mbanano na kukabiliwa na majukumu mazito hayo akaamua aweke cm pembeni.
 
huwa anajisema yeye ni miongoni mwa watu wachache jeshini walioagizwa na gvnt kwenda UGANDA kwa kazi maalumu,na hupata likizo chache kurudi nchini,iweje huyu popoma akose bundle? kama kifo tungeona tanzia,labda ni mbanano na kukabiliwa na majukumu mazito hayo akaamua aweke cm pembeni.
Popoma ni kijana mfupi mno kutoka Bunda Mara Kwa Sasa yupo hapo Kawe alifanya udalali.
Popoma hawezi kuajiriwa jeshi na nafasi nyeti awe anakuja kuuza ramani mitandaoni
 
Tunakosa story za Uganda na za ndani nyingi ndani ya Jeshi la Lugalo na upande ule mwenye Sirikali
 
Popoma ni kijana mfupi mno kutoka Bunda Mara Kwa Sasa yupo hapo Kawe alifanya udalali.
Popoma hawezi kuajiriwa jeshi na nafasi nyeti awe anakuja kuuza ramani mitandaoni
Wewe umemjuaje popoma wakati anatumia id fake? au kuna platform nyingine anatumia jina genta?
 
Back
Top Bottom