Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Half american, Vishu Mtata njooni msome hapo kwenye angalizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una yako sasa jichanganye ujute.Half american, Vishu Mtata njooni msome hapo kwenye angalizo
We Soma, Angalizo Kama 😂😂We una yako sasa jichanganye ujute.
Ilo ni kwa ajili yakoWe Soma, Angalizo Kama 😂😂
acha. Uoga, tuta mchangia😂😂Ilo ni kwa ajili yako
Usinihusishe mkuu tafadhaliacha. Uoga, tuta mchangia😂😂
hebu tulia, asubui hii.Usinihusishe mkuu tafadhali
Popoma hana bandoGENTA umepotelea wapi,au umeuliwa kwa siri huko UGANDA,au kipi kimekufanya ukae kmy? si tu tumekumisi bali pia tumezikumbuka taarifa zako nyeti ambazo huwa unatupenyezea. hakika rudi kiongozi uongoze na kutawala gurudumu la michezo nchini.
huwa anajisema yeye ni miongoni mwa watu wachache jeshini walioagizwa na gvnt kwenda UGANDA kwa kazi maalumu,na hupata likizo chache kurudi nchini,iweje huyu popoma akose bundle? kama kifo tungeona tanzia,labda ni mbanano na kukabiliwa na majukumu mazito hayo akaamua aweke cm pembeni.Popoma hana bando
Hawezi ku login Jamii forums
Popoma ni kijana mfupi mno kutoka Bunda Mara Kwa Sasa yupo hapo Kawe alifanya udalali.huwa anajisema yeye ni miongoni mwa watu wachache jeshini walioagizwa na gvnt kwenda UGANDA kwa kazi maalumu,na hupata likizo chache kurudi nchini,iweje huyu popoma akose bundle? kama kifo tungeona tanzia,labda ni mbanano na kukabiliwa na majukumu mazito hayo akaamua aweke cm pembeni.
Wewe umemjuaje popoma wakati anatumia id fake? au kuna platform nyingine anatumia jina genta?Popoma ni kijana mfupi mno kutoka Bunda Mara Kwa Sasa yupo hapo Kawe alifanya udalali.
Popoma hawezi kuajiriwa jeshi na nafasi nyeti awe anakuja kuuza ramani mitandaoni