Kwani haiwezekani Yanga tukate Rufaa MC Alger anyang'anywe point kwa kupoteza muda

Kwani haiwezekani Yanga tukate Rufaa MC Alger anyang'anywe point kwa kupoteza muda

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
949
Reaction score
2,038
Wakuu, habari zenu?

Nianze kuunga mkono kwa Yule ambaye atasema "Bara la Africa limelaniwa" pasipo na shaka Wala dukuduku lolote kutoka moyoni yupo sahihi.

Hii haiwezekani hizi hujuma ambazo wana-Yanga tumefanyiwa kwenye match yetu kati ya MC Alger hazitakiwi na Wala siyo vitendo vinavyotakiwa kwenye soka la mpira wa Miguu.

Pia angalia: News Alert: - FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Katka Kipindi Cha kwanza Refa ametunyima penalty ya wazi kabsa, mchezaji wa MC Alger alizuia shuti la Mzize kwa mkono, lakini Refa kameza filimbi, siyo hilo tu wachezaji wengi wa MC Alger walikua wakipoteza mda kitu ambacho Refa alikua akiangalia tu pasipo toa maamzi ya kuonya kwa kadi.

Ushauri wangu kwa Eng. Hersi akate Rufaa CAF, ikiwezekana hii match irudiwe, hizi ni figisu za waziwazi kabsa.

Ndiyo maana soka la Africa haliendelei.
 
Wakuu, habari zenu?

Nianze kuunga mkono kwa Yule ambaye atasema "Bara la Africa limelaniwa" pasipo na shaka Wala dukuduku lolote kutoka moyoni yupo sahihi.

Hii haiwezekani hizi hujuma ambazo wana-Yanga tumefanyiwa kwenye match yetu kati ya MC Alger hazitakiwi na Wala siyo vitendo vinavyotakiwa kwenye soka la mpira wa Miguu.

Katka Kipindi Cha kwanza Refa ametunyima penalty ya wazi kabsa, mchezaji wa MC Alger alizuia shuti la Mzize kwa mkono, lakini Refa kameza filimbi, siyo hilo tu wachezaji wengi wa MC Alger walikua wakipoteza mda kitu ambacho Refa alikua akiangalia tu pasipo toa maamzi ya kuonya kwa kadi.

Ushauri wangu kwa Eng. Hersi akate Rufaa CAF, ikiwezekana hii match irudiwe, hizi ni figisu za waziwazi kabsa.
Ndiyo maana soka la Africa haliendelei.
Pole sana mkuu, umeongea kwa hisia sana😂gusa achia twende kwao
 
Mtoa mada wa Simba anatafuta attention tu ya Mashabiki.....au ameliwa na muhindi
 
Tukubali tu leo haikuwa siku nzuri kwetu kimchezo.

Tujipange msimu ujao.
 
1737216693780.gif
 
Wakuu, habari zenu?

Nianze kuunga mkono kwa Yule ambaye atasema "Bara la Africa limelaniwa" pasipo na shaka Wala dukuduku lolote kutoka moyoni yupo sahihi.

Hii haiwezekani hizi hujuma ambazo wana-Yanga tumefanyiwa kwenye match yetu kati ya MC Alger hazitakiwi na Wala siyo vitendo vinavyotakiwa kwenye soka la mpira wa Miguu.

Pia angalia: News Alert: - FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Katka Kipindi Cha kwanza Refa ametunyima penalty ya wazi kabsa, mchezaji wa MC Alger alizuia shuti la Mzize kwa mkono, lakini Refa kameza filimbi, siyo hilo tu wachezaji wengi wa MC Alger walikua wakipoteza mda kitu ambacho Refa alikua akiangalia tu pasipo toa maamzi ya kuonya kwa kadi.

Ushauri wangu kwa Eng. Hersi akate Rufaa CAF, ikiwezekana hii match irudiwe, hizi ni figisu za waziwazi kabsa.

Ndiyo maana soka la Africa haliendelei.
Fuatilieni mambo yenu ya maana kwnz match haiwezi kurudiwa na wala haitawasaidia chochote yanga ni timu ndogo Sana Caf huko! fuatilieni barua zenu za wachezaji mlioporwa kama yusuph kagoma na wengine
 
Back
Top Bottom