Kwani Ihefu shida ni wachezaji au kocha?

Kwani Ihefu shida ni wachezaji au kocha?

Nafikiri kwa sisi wana MBARALI ni nafasi nyngne yakugundua tunakosea wap....unajua kwa majina ya wachezaj tulionao hata kama ni MAGARASA lakn wanahitajka kudeliver walau point..ila sio kwa vipgo hivi
 
Nafikiri kwa sisi wana MBARALI ni nafasi nyngne yakugundua tunakosea wap....unajua kwa majina ya wachezaj tulionao hata kama ni MAGARASA lakn wanahitajka kudeliver walau point..ila sio kwa vipgo hivi
wachezaji wengi ni wazoefu lakin sijui shida ikon wapi hebu tuone huyu kocha ataleta mabadiliko?
 
yaaah hapo wamefanya vizuri japo pia bado tunapima mizani kujua hatima yao
Mara nyingi unajua shida inakuja kwa wamiliki kiwa na matatajio makubwa. Ukishapanda ligi wee kuwa mpole jikubalie tuu misimu mitatu utakuwa ni kugombania kubaki kwenye ligi. Usitake makuu
 
Mara nyingi unajua shida inakuja kwa wamiliki kiwa na matatajio makubwa. Ukishapanda ligi wee kuwa mpole jikubalie tuu misimu mitatu utakuwa ni kugombania kubaki kwenye ligi. Usitake makuu
shida inaanziaa hapa wachezaji waliopo ni wazoefu wa ligi kuu, sasa sijui bado hawajasomana au mfumo wa kocha
 
shida inaanziaa hapa wachezaji waliopo ni wazoefu wa ligi kuu, sasa sijui bado hawajasomana au mfumo wa kocha
Kujenga timu napo inachukuwa muda alafu huu msimu umekuwa na changamoto kubwa kwamba muda wa mapumziki haukuwepo wakutosha hivyo inabidi ubalance mambo vizuri
 
Kujenga timu napo inachukuwa muda alafu huu msimu umekuwa na changamoto kubwa kwamba muda wa mapumziki haukuwepo wakutosha hivyo inabidi ubalance mambo vizuri
ni kweli lakini jambo kubwa wajitahidi kwenda na ksi kwasababu muda si rafiki hadi round ya nne hawana hata point tatu
 
ni kweli lakini jambo kubwa wajitahidi kwenda na ksi kwasababu muda si rafiki hadi round ya nne hawana hata point tatu
Anyways sii hapa kuna international break so mwambusi atapata kafanya kazi na wachezaji na labda tutaona mabadiriko.

Ila pia hapa kuna ishu lazima waiangalie. Kumtoa mtu kama head coach na kumuacha hapo hapo kama assistant inaweza leta matatizo.
Muda mwengine ni vyema tuu kama uongozi ukaleta kocha mpya aje na msaidizi wake.
 
Anyways sii hapa kuna international break so mwambusi atapata kafanya kazi na wachezaji na labda tutaona mabadiriko.

Ila pia hapa kuna ishu lazima waiangalie. Kumtoa mtu kama head coach na kumuacha hapo hapo kama assistant inaweza leta matatizo.
Muda mwengine ni vyema tuu kama uongozi ukaleta kocha mpya aje na msaidizi wake.
hiyo nayo ni point ya kuangaliwa sana, maana ni sawa na kuzima moto kwa mafuta ya taa
 
hiyo nayo ni point ya kuangaliwa sana, maana ni sawa na kuzima moto kwa mafuta ya taa
Managerial succession ni kitu very tricky. Usione watu kama wakina mosimane wanafanikiwa. Wanahama kama group. Ana mtaalamu wake wa opposition analyst na kama sijakosea fitness trainer wake.
Hao wote tayari wanajua M.O ya boss so wakifika kwenye timu mpya mambo yanaenda tuu hamna muda wakuanza kujua huyu atanata kazi iende vipi. Kila mtu anajua nini kinafanyika.

Na hili mbona ata kwenye makampuni makubwa wanalielewa. Ukitaka ceo flani unajua kabisa kuna positions zingine pia jamaa atataka watu wake wakae ili apige kazi vizuri.
 
Back
Top Bottom