Kwani Jack Pemba anafanya kazi gani?

Kwani Jack Pemba anafanya kazi gani?

Jamaa ni mfanyabiashara, INTERNATIONAL. Ina mambo mengi sana hii wadhifa yake.
Ila anasimamia shughuli zake vzuri. Na akiondoka humuoni. Akirudi ni bata tu. Halafi 50ml kwa ufanyabiashara wa mtu kama jack pemba, si hela kubwa kuitoa mara moja moja, jamaa ana mzunguko hata wa milioni 900 kwa miezi mitatu. Muache ale pesa.
Ana academies za michezo pia timu ya basketball. Na foundations zinampa sana mizgo za UK,
huyu mwamba ni mpambanaji haswa. Akisaka ana saka haswaaaa.
Vipi alishamjengea Mama yake Mzazi nyumba kule kwao Kanyogo Bukoba?
 
Haya ma papa endapo kama yameanza kurudi ujue vilio vya watu kuibiwa ardhi zao zilizopo katika strategic point vitaanza, sifahamu kama kamishna mpya wa jiji atalimudu hili japo huyu bwana LEO, namuona kama yupo makini kweli kweli na ni mtendaji hasa hakika ardhi dar wamepata jembe lakini hofu yangu ni ataweza kutunza displin aliyonayo kwa muda mrefu?, Jamaa anavigezo vyote vya kuwa hata naibu waziri, lakini je ataweza kuwazuia mapapa?
 
Back
Top Bottom