Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Papa Mutalika , Pedeshee Lucas Kiginga, Amosi makala Mzee wa MvomeroOmary Kimbau
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papa Mutalika , Pedeshee Lucas Kiginga, Amosi makala Mzee wa MvomeroOmary Kimbau
Papaa ngolooPedeshee ndama, papa musofe, muzamil, ustaadh juma na musoma, chifu kiumbe,
😀😀😀Tunaaanzaaaa upyaaaaaaa!
Bado Lema,Wenje na Lisu 😀🤣🤣🤣🤣Maendeleo hayana chama, kila mtu karudi
Vipi alishamjengea Mama yake Mzazi nyumba kule kwao Kanyogo Bukoba?Jamaa ni mfanyabiashara, INTERNATIONAL. Ina mambo mengi sana hii wadhifa yake.
Ila anasimamia shughuli zake vzuri. Na akiondoka humuoni. Akirudi ni bata tu. Halafi 50ml kwa ufanyabiashara wa mtu kama jack pemba, si hela kubwa kuitoa mara moja moja, jamaa ana mzunguko hata wa milioni 900 kwa miezi mitatu. Muache ale pesa.
Ana academies za michezo pia timu ya basketball. Na foundations zinampa sana mizgo za UK,
huyu mwamba ni mpambanaji haswa. Akisaka ana saka haswaaaa.
Kosa kuzaliwa Sandali MikoroshiniHivi sisi wamaskini kosa letu ni lipi?
Itakusaidia kukupa pesa? Roho ya umaskini hutaka kuzuia tu...Huu siyo utakatishaji pesa kweli.?
View attachment 2477650
Nani kazichafua mpaka zitakatishwe???Huu siyo utakatishaji pesa kweli.?
View attachment 2477650
Daaaahhh.Kosa kuzaliwa Sandali Mikoroshini
🤣🤣🤣Bado Lema,Wenje na Lisu 😀
Achana na mambo ya kuuliza kazi/biashara za watu, tafuta pesa kwa juhudi na maarifa.Mi nimeuliza kazi Yake. Niwe inspired
huna majibu kaa kimyaNdagu. So umekuwa inspired?
bongo ndo hizo historia za utajiri ni ngumu kuzipata kama machozi ya samakiAchana na mambo ya kuuliza kazi/biashara za watu, tafuta pesa kwa juhudi na maarifa.
Thinking and setting your strategies properly is the way.
Pasaa pasaa sauti akusikie bibieJack Pembaaaah