Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu na mjua alitoka na katunzi hakupewa hata Mia
Kila mja ana maarifa na tricks zake katika utafutaji, ni kujiongeza tu kiaina.bongo ndo hivyo historia za utajiri ni ngumu kuzipata kama machozi ya samaki
Wanashiba vizuri(wanakula vinavyo eleweka)Hv ni kwanini mapedejee wote wana miili mikubwa?
Masharti ya kilinge hayoHuu siyo utakatishaji pesa kweli.?
View attachment 2477650
Wazee wa madili feki waliwaliza Sana wazungu dhahabu feki, pesa wakaenda3 honga warembo wa jiji
Watu wa dili sna hawaHabari ya gold feki ya Pemba na Muzamil ipo hapa Fake gold gang busted in city drugs operation
Bro wake anahangaika na kuua panya mende na wadudu watanbaao nyumbani. Eti fumigation. Hata Mimi nishamuona akiomba Bia pale Fair Way TegetaCha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Ukitaka kujua uchawa ulianza zamani, waulize wanamuziki wenye asili ya Congo! Mfano Christian Bella, nk. Aisee hawa jamaa wanajua kumpamba mtu.Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
Atakua na matatizo ya akili sio bure.Cha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Kuna watu wana roho mbaya unaweza kukutoa hata sio hela za ndagu ila ni roho mbayaBro wake anahangaika na kuua panya mende na wadudu watanbaao nyumbani. Eti fumigation. Hata Mimi nishamuona akiomba Bia pale Fair Way Tegeta
Yale mahela nahisi anaazima tu kupigia picha
Tapeli tu ambaye hajaenda shule.Huu siyo utakatishaji pesa kweli.?
View attachment 2477650
Shule bila hela ni aina ya upuuzi uliokithiri.Tapeli tu ambaye hajaenda shule.
Christian Bella,hahaha.Bill Gate Katunzi Muzamil nakutakia maisha mema na mwenyezi Mungu akusaidie umekua msaada wa kusaidia wenzio endelea na moyo huo mzuri muzamil ,uwe mfano wa kuigwa iyeeeee! Binadamu akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mi najua umetoka mbali ni siri yako sio wote watakupendaaaa ihiiiiiiii! Tenda Mema usingoje shukurani cheka na watu wote MUZAMIL KATUNZI.
Mbona wanasema ati mama yake hana hata nyumba pesa ya kazi gani hiyo?Jamaa ni mfanyabiashara, INTERNATIONAL. Ina mambo mengi sana hii wadhifa yake.
Ila anasimamia shughuli zake vzuri. Na akiondoka humuoni. Akirudi ni bata tu. Halafi 50ml kwa ufanyabiashara wa mtu kama jack pemba, si hela kubwa kuitoa mara moja moja, jamaa ana mzunguko hata wa milioni 900 kwa miezi mitatu. Muache ale pesa.
Ana academies za michezo pia timu ya basketball. Na foundations zinampa sana mizgo za UK,
huyu mwamba ni mpambanaji haswa. Akisaka ana saka haswaaaa.