Kwani Jack Pemba anafanya kazi gani?


Kuna mtu na mjua alitoka na katunzi hakupewa hata Mia
 
Cha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Bro wake anahangaika na kuua panya mende na wadudu watanbaao nyumbani. Eti fumigation. Hata Mimi nishamuona akiomba Bia pale Fair Way Tegeta

Yale mahela nahisi anaazima tu kupigia picha
 
Ukitaka kujua uchawa ulianza zamani, waulize wanamuziki wenye asili ya Congo! Mfano Christian Bella, nk. Aisee hawa jamaa wanajua kumpamba mtu.

Akina Lucas mwashambwa, Baba Levo na Mwijaku; bado ni watoto wadogo kwa wanamuziki wenye asili ya Congo.
 
Watoto wa Town wamerudi upyaaaaa,
Kumekuchaaaaaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cha ajabu sasa nyumba anayoishi mama yake ni kituko, mwanae wa kwanza yupo tu mtaani hana mishe yoyote hana kitu anagongea bia kwa watu kitaa ..pesa za uyo jamaa zina siri kubwa sana namjua vizuri from the begining mpaka apo alipofikia ..
Atakua na matatizo ya akili sio bure.
 
Christian Bella,hahaha.
 
Mbona wanasema ati mama yake hana hata nyumba pesa ya kazi gani hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…