Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM wamefanikiwa kuwagombanisha Mbowe na Lisu, hawa ni ngumu sn kufanya kazi pamoja tena
Tatizo ni Freeman Mbowe...

Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...

Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani ya CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!

Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...

Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
 
Tatizo ni Freeman Mbowe...

Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...

Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!

Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither coward nor weak...

Jamaa yuko very strong na moto utawaka lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
Busara inahitajika
 
Mbowe baada kulambishwa Asali akaona amfanyie ZENGWE jemadari Lissu ili kumpush out kwenye uongozi kwasababu Lissu sio mla RUSHWA Lissu akaona nimfuate huko huko😆😆
tundu-lissu-the-presidential-candidate-of-tanzanias-main-opposition-chadema-party-speaks-to.jpg

Niyeye👆 sio mla RUSHWA na ni Muadilifu Muwazi na Mzalendo.
 
Tatizo ni Freeman Mbowe...

Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...

Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!

Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...

Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
imagine, unapambania chama hadi ulemavu umekukuta, hata ingekuwa kifo, alafu kuna mtu analamba asali akijua huwezi kumpinga kwa kuwa ati ulimsaidia matibabu. sasa si ulinisaidia matibabu nikiwa napigania chama cha wote, ndio awe mtumwa wa kusaidiwa?
 
Busara inahitajika
Busara gani hasa..?

The only busara iliyo wazi kabisa kwa sasa ni:

1. Freeman Mbowe akae pembeni, aachie uongozi wa chama kwa watu wengine...

2. Kama akisema "sanduku la kura liamue", basi asijaribu kuhujumu uchaguzi huu kwa kusaidiwa na TISS ya CCM na mbinu zao chafu Ili mradi tu abaki madarakani...

3. Sambamba na namba 2 hapo juu; uchaguzi ufanyike ktk mazingira ya uwazi, haki na kila mtu aone kila hatua ya haki ikitendeka Ili atakayeshinda ionekane wazi na kila mtu kuwa ameshinda kwa haki.

Hili likifanyika sawasawa, lita minimize damage mara baada ya uchaguzi kupita na itasaidia wanachama na chama kuwa kimoja.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, inaonekana wazi kuwa Freeman Mbowe hataki kuachia kiti kwa amani na anaweza kutumia njia zozote haramu kujishindisha ktk uchaguzi huu na CCM wako kwenye mikakati mizito ya kumsaidia kufanikisha hili kwa kutumia fedha maarufu kama "pesa za Abdul" na mifumo ya kiserikali - TISS....

Hili likiwa hivi, ndo nasema patawaka moto. Yale tuliyoyaona yakitokea kwenye vyama vya CUF na NCCR watu kufungiana milango na kugawana ofisi yatatokea CHADEMA pia...

Na ikitokea hivi, I am afraid kusema kuwa CHADEMA inaweza kubaki Machame na pale makao makuu DSM pekee!

Mbowe ana busara hii kweli..?
 
mimi ninachoomba, yeye si amesema sio mbangaizaji ni tajiri anayeweza kuiendesha cdm kwa sababu ya utajiri wake, na masikini kina lisu hawawezi kuendesha chama? ajaribu kukaa pembeni aone nguvu ya umma, namna watu watakavyochanga hizi hizi alfu alfu kuchangia chama pale kinapohitaji. hataamini macho yake.
 
Busara gani hasa..?

The only busara iliyo wazi kabisa kwa sasa ni:

1. Freeman Mbowe akae pembeni, aachie uongozi wa chama kwa watu wengine...

2. Kama akisema "sanduku la kura liamue", basi asijaribu kuhujumu uchaguzi huu kwa kusaidiwa na TISS ya CCM na mbinu zao chafu Ili mradi tu abaki madarakani...

3. Sambamba na namba 2 hapo juu; uchaguzi ufanyike ktk mazingira ya uwazi, haki na kila mtu aone kila hatua ya haki ikitendeka Ili atakayeshinda ionekane wazi na kila mtu kuwa ameshinda kwa haki.

Hili likifanyika sawasawa, lita minimize damage mara baada ya uchaguzi kupita na itasaidia wanachama na chama kuwa kimoja.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, inaonekana wazi kuwa Freeman Mbowe hataki kuachia kiti kwa amani na anaweza kutumia njia zozote haramu kujishindisha ktk uchaguzi huu na CCM wako kwenye mikakati mizito ya kumsaidia kufanikisha hili kwa kutumia fedha maarufu kama "pesa za Abdul" na mifumo ya kiserikali - TISS....

Hili likiwa hivi, ndo nasema patawaka moto. Yale tuliyoyaona yakitokea kwenye vyama vya CUF na NCCR watu kufungiana milango na kugawana ofisi yatatokea CHADEMA pia...

Na ikitokea hivi, I am afraid kusema kuwa CHADEMA inaweza kubaki Machame na pale makao makuu DSM pekee!

Mbowe ana busara hii kweli..?
Da kweli watu wamemchoka Mbowe
 
Uenyekiti hataki wengine wapigiwe kura, Urais bado hajaamua ingawaje aliambiwa kwamba augombee. Maana yake ni kwamba hataki kudhibitiwa na mwenyekiti wa chama ndio maana wanasema uenyekiti hawawezi kumpa Lissu ila Uraisi sawa, maana yake wanajua kwamba watamdhibiti akiwa raisi, asipo fanya wanayotaka , wanamfuta uanachama na anakuwa sio Raisi... sasa nimeelewa kauli za mashabiki wa Mbowe. hawataki kudhibitiwa kwa namna yeyote ile, wao wanataka vyote. wakumbuke ule msemo, mtaka yote kwa pupa...., wenye D2 wataelewa.
 
Back
Top Bottom