Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Busara inahitajika ikiwa kuna watu miezi michache wamekufa kwenye uchaguzi wa mitaa wakiamini wanapigania chama wanapigania haki, huku nyuma ya pazia kuna ulaghai? Mbwai iwe mbwai ili sasa hivi atayejitolea uhai wake awe amejua kila kituBusara inahitajika