Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hataki Lissu ampandie kichwani akiwa mwenyekiti. Ndio hivyo tu. Raisi lazima awe mwanachama wa chama cha siasa, Mbowe akiwa Rais, lazima mwenyekiti atam- control, jambo ambalo hataki. Lissu yeye kaisha sema kwamba akiwa Rais, huo uenyekiti ata- resign. Kuwapatanisha hawa wawili ni jambo jepesi tu- wawekeane mkataba wa maandishi kupitia kamati kuu wa nani atafanya nini akiwa nani, ndio wataaminiana maana kwa sasa kila mmoja hamwamini mwenzake- Lissu anamtilia shaka Mbowe na Abdul wake na Mbowe anamtilia shaka Lissu kwamba atatia mchanga kwenye kitumbua chake toka huko ccm ya samia, na ukiangalia sana, washabiki wa ccm humu wanamtaka Mbowe zaidi ya Lissu maana hawataki hizi habari za mchaka mchaka, chinja, aliselema, alijia... wazee wa mara wanasema Busara na nia njema haikubariki tena- hebu wasikilize hapa, wao wanataka kuku aruke na mwewe, ndio hayo tu...
wasikilize hapa:
View: https://youtu.be/0d1QUNFfVoA?si=efIheOZL25Qh6kGn

Hii saccos mjue mnachekesha yaani mnawaza urais kabisa bila aibu? Ni pimbi gani wa kumshinda Samia na CCM yake? Jamani tuweni siriaz basi sisi tuchuwaneni kwenye hiki kiti cha saccos yetu bas! Sasa Mambo ya urais yanatoka wapi tena?
 
Mbowe baada kulambishwa Asali akaona amfanyie ZENGWE jemadari Lissu ili kumpush out kwenye uongozi kwasababu Lissu sio mla RUSHWA Lissu akaona nimfuate huko huko😆😆
View attachment 3194191
Niyeye👆 sio mla RUSHWA na ni Muadilifu Muwazi na Mzalendo.
Acha porojo. Kwenye ukodishaji wa chama kwa Lowasa alikula rushwa akatusaliti huyu. Lisu siyo msafi.
 
Akagombee uraisi Kwa mara ya 2 ndo inamfaa lakini siyo mwenyekiti wa Chadema.
Tembea mbele mambo ya CHADEMA waachie chadema thus why kuna mtu humu ndani anakuita dada. Na kweli hzi tabia za kidada. Kesho tutakununulia kijora dada yetu
 
Kumbe tumefika hatua ya Viongozi wakuu wa Chadema kwenda kupatanishwa Nje ya Mifumo ya Chama 🐼

Kiukweli Hali ni Tete Sana

Kwani Makamu mwenyekiti kabla ya Lisu alikuwa ni nani?

Au Mzee Mabere Nyaucho Marando?

Nimekaa pale 🐼
ha ha ha ha, Lissu hakuwa na funguo za ofisi
 
uanachama
Daah wee jamaa unaongelea lissu kuuchukua urais kama vile unaenda kuokota uchafu jalalani yaani una hakika lazima uchafu utakuwepo. Unasahau kuna ccm ambao nyakati kama hizi utadhani hawapo.
Upinzani wa nchi hii kupata nguvu kama ile ya vuguvugu la lowassq wana safari ndefu sana.
Hebu fikiri kabla ya lipumba na slaa hawajayakoroga wapinzani walikuwa wamoja na wanaongea sauti moja.sasa ktk mvurugano kama huu nafasi ya upinzani kufanya vizuri wanaitoa wapi nasema kufanya vizuri sio kushinda urais.2015 ili nafasi ya dhahabu sioni hali ile ilijirudia hivi karibuni.
 
Shida kesho unaweza sikia kafukuzwa uanachama
Hawawezi kumfukuza Tundu Lissu uanachama kwa sababu hoja ya kumfukizia haipo..

Kama kweli Tundu Lissu ni adui yao kiasi hiki, wanachoweza kufanya ili kumtoa kwenye picha yao ni kumuua tu ambapo nako sioni possibility hilo kabisa..!!
 
Uchaguzi wa chadema ni moto sana , ila ccm watashangaa sana , mpaka hawaamini jinsi wanavyosogeza kete na kuliwa, kuna kauli moja alitoa kiongozi mmoja wa chadema ,kwamba yapo mambo yanapikwa yakiwivya wataweka wazi
Sasa hapo chadema watakuja na nini kipya?

Maana hapo aidha waje na Lisu au Mbowe basi
 
Hawawezi kumfukuza Tundu Lissu uanachama kwa sababu hoja ya kumfukizia haipo..

Kama kweli Tundu Lissu ni adui yao kiasi hiki, wanachoweza kufanya ili kumtoa kwenye picha yao ni kumuua tu ambapo nako sioni possibility hilo kabisa..!!
Wakikosea tu kinashuka kama maziwa ya mishangaz
 
Kumbe tumefika hatua ya Viongozi wakuu wa Chadema kwenda kupatanishwa Nje ya Mifumo ya Chama 🐼

Kiukweli Hali ni Tete Sana

Kwani Makamu mwenyekiti kabla ya Lisu alikuwa ni nani?

Au Mzee Mabere Nyaucho Marando?

Nimekaa pale 🐼
Hivi we kwa akili yako ulidhani kanisa katolili lipo kwa qjiri ya Mungu? Ile ni ziga tu lakini ki ukweli lile lile siyo kanisa la Mungu. Kitima ana wake wawili kule Tanga
 
Back
Top Bottom