Kwani kuna kosa Bodaboda kuitwa Maafisa Usafirishaji au kosa tafsiri?

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Habar wanajf,

Nashangaa watu wanalama mitandaoni eti boda hawapaswi kuitwa maafisa tuache kudharau kazi za watu zimeajiri mamilioni ya vijana.
 
πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Habar wanajf. Nashangaa watu wanalama mitandaoni eti boda hawapaswi kuitwa maafisa tuache kudharau kazi za watu zimeajiri mamilioni ya vijana.
Baada ya Lema kuongea uhalisia ndio jina likabadilika shida ilianzia hapo
 
Maafisa uchakataji tunawasikilizia maana tumechoka na sie kuitwa mayala
 
Habar wanajf,

Nashangaa watu wanalama mitandaoni eti boda hawapaswi kuitwa maafisa tuache kudharau kazi za watu zimeajiri mamilioni ya vijana.
Kwani kuna kosa kila mtu kuitwa mheshimiwa hapa duniani?
 
Unajua maana ya Afisa? Unaweza kuwa Afisa bila kusomea fani husika? Boda na aliyewaitaa wote wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…