Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Baada ya Lema kuongea uhalisia ndio jina likabadilika shida ilianzia hapoHabar wanajf. Nashangaa watu wanalama mitandaoni eti boda hawapaswi kuitwa maafisa tuache kudharau kazi za watu zimeajiri mamilioni ya vijana.
Kwani kuna kosa kila mtu kuitwa mheshimiwa hapa duniani?Habar wanajf,
Nashangaa watu wanalama mitandaoni eti boda hawapaswi kuitwa maafisa tuache kudharau kazi za watu zimeajiri mamilioni ya vijana.