Kwani kuna wa kupinga? Tanzania na Afrika Mashariki hakika Ghb Don ndiye Mfalme wa michezo ya pikipiki

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
MUHIMU: MICHEZO HII NI HATARI SANA, BILA UMAKINI NA MAFUNZO WENGI WAMEPOTEZA MAISHA



Ni mwamba GHB DON ni fundi na mtalam wa kuchezea pikipi, Tanzania na Afrika Mashariki hakuna mwenye uwezo wa kuchezea pikipiki namna anavyofanya, Tumezoea kuona wengi wakiweza kutambia style ya kuinua tairi tu lakini huyu Ninja ana staili nyingi mno kupiga dede huku anafanya makarateka, kuruka Maburungu Juu Changanya kukwaruza kipepsi na Mastaili kibao

Kaanza kuchezea pikipiki tangu akiwa mdogo hivyo hajajifunzia ukubwani,

Honest mentions wengine wanaokichafua kuna kuna kina kelvin,fbi, maulidi smith, ommy yahaya, dogoo madede, twaha, n.k.


Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
kuendeshea ubavuni, ni style ya makomandoo waliotukuka wakiwa wanajaribu kukwepa risasi

Your browser is not able to display this video.



Your browser is not able to display this video.
 
Kunyanyua tairi huku akidance

Your browser is not able to display this video.
 
Tairi burnout

Your browser is not able to display this video.
 
DRIFT





Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Dede hands free

Your browser is not able to display this video.
 
Dede hili mpaka mkia unagusa chini, ni cheche !

Your browser is not able to display this video.
 
dede la mguu moja

Your browser is not able to display this video.
 
Tucheze siingeli

Your browser is not able to display this video.
 
dede la kunesa nesa


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
simamia mashine

Your browser is not able to display this video.
 
wababe wa hizo mambo wa nchi zilizoendelea huwa wanajitambua wanavaa kofia ngumu na jacket za kulinda mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…