MUHIMU: MICHEZO HII NI HATARI SANA, BILA UMAKINI NA MAFUNZO WENGI WAMEPOTEZA MAISHA
Ni mwamba GHB DON ni fundi na mtalam wa kuchezea pikipi, Tanzania na Afrika Mashariki hakuna mwenye uwezo wa kuchezea pikipiki namna anavyofanya, Tumezoea kuona wengi wakiweza kutambia style ya kuinua tairi tu lakini huyu Ninja ana staili nyingi mno kupiga dede huku anafanya makarateka, kuruka Maburungu Juu Changanya kukwaruza kipepsi na Mastaili kibao
Kaanza kuchezea pikipiki tangu akiwa mdogo hivyo hajajifunzia ukubwani,
Honest mentions wengine wanaokichafua kuna kuna kina kelvin,fbi, maulidi smith, ommy yahaya, dogoo madede, twaha, n.k.
Hongera yake, ngoja Mimi niendelee kugonga Skanka yangu hapa kwanza alafu mengine baadae Ila yupo vizuri kijana akipata mfadhili akamvisha mbele atakua km Ramadhan Brothers atarudi na mipunga mkononi