Kwani kuolewa ni utumwa, mpaka wanaume wakinipa ofa za lift na kinywaji nizikatae?

Kwani kuolewa ni utumwa, mpaka wanaume wakinipa ofa za lift na kinywaji nizikatae?

Sio kisa cha kitoto bro. Mwanaume uliyekamilika huwezi ruhusu dume mwenzako atoe huduma/ofa kwa wife halafu ww ukiwepo, hata kama ni favor. So yuko sahihi huyo jamaa.

Hapo ni mwanaume ndiye atakaeelewa nilichoandika, mvulana utaona mapicha picha tu ambayo haya-make sense. Ila ukikua utaelewa.

Sent from simu ya kuunga unga
Tatizo hii mada inajadiliwa na watoto (vijana wanaomiliki the so called mademu), mkeo hawezi pewa ofa na mwanaume mbele yako afu ukae kwa kutulia tu.
 
Hapa lazma kuna mengi zaidi chini ya kapeti, unaeza kuta alikua anabambiwa af alipomaliza ndo akapewa na ofa ya bia.
Tuseme tu ukweli, mambo ya mke mtu kupewa maofa ya bia tena na strangers af mume mtu uko hapo umezubaa tu definetly utakua hauna mapoumbow wala ndonga. Hilo ni kosa na ilitakiwa huyo mke awe analitambua hilo.
 
Ahaa! Ok.
Lkn mm nilidhani ingekifaa kama kila mtu ajichunge mwenyewe badala ya mwanamke kutazamwa kama mtoto mdogo.

Mpk kaolewa maana yake ni mtu mzima anaelewa baya na zuri.
Acha kutetea kitu unachokijua.
Ofa ya kilevi maana yake ni nini? Kilevi kinajulikana kuwa hulevya. Ukilewa unajibehave vipi? Unajua, safari moja huanzisha nyingine.
Kwanza kwa nini mke wa mtu ukae kunyemelea ofa za kilevi toka kwa mwanamme!?
Kama si mtoto mdogo, basi inabidi utambue kuwa ofa za pombe tu kwa mwanamke lazima ujiulize hatma ya mtoaji itakuwa nini. Mara nyingi huwa ni mtego.
 
Dini zimetufunza kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hata akiwa na miaka 60 bado ni dhaifu. Hivyo ni mwepesi sana kurubunika hata kwa Pipi kijiti tu inatosha sembuse Bia.

Sasa wewe unapambania upewe ofa ya Bia ili uje usingizie Shetani alikupitia kumbe ni wewe mwenyewe umejirahishishia kazi ya kuja kuliwa kimasihara.
Asipozingatia manano haya....awe tayari kuleta mrejesho.
 
Acha kutetea kitu unachokijua.
Ofa ya kilevi maana yake ni nini? Kilevi kinajulikana kuwa hulevya. Ukilewa unajibehave vipi? Unajua, safari moja huanzisha nyingine.
Kwanza kwa nini mke wa mtu ukae kunyemelea ofa za kilevi toka kwa mwanamme!?
Kama si mtoto mdogo, basi inabidi utambue kuwa ofa za pombe tu kwa mwanamke lazima ujiulize hatma ya mtoaji itakuwa nini. Mara nyingi huwa ni mtego.
Binadamu hachungwi. Naona kama mnapoteza muda tu.
 
Wanakupea wapi? Kama unaacha watoto home na binti wa kaz ili kwenda kuhongwa bia Moja bas ni halali watoto wanapokua na kutupiga maana hawatutambui kama wazazi
 
Wanakupea wapi? Kama unaacha watoto home na binti wa kaz ili kwenda kuhongwa bia Moja bas ni halali watoto wanapokua na kutupiga maana hawatutambui kama wazazi
Kwahiyo nikikutana na mwanaume anayenifahamu. Hatujaonana siku nyingi anataka kunitwanga bia moja. Je, nimkimbie???
 
Hujui maana ya ndoa au mume ndiyo maana. Siku ukiolewa utafundwa kama wapo wafundaji wenyewe siku hizi.
Ndiyo maana nauliza ndoa inauwa hiari ya moyo na utashi wa mwanamke kufanya Jambo analolipenda?

Kama ndivyo basi ndoa ni utumwa. Sasa utanishawishi vipi mm kuingia utumwani (kwenye ndoa)?
 
Bia Kama madawa tu
Haiachi akili sawa kwa Hy wadau wa vyupa wanaenda hatua kumi Zaid na kuona namna anavyoliwa 🗡️🗡️
 
Kwahiyo nikikutana na mwanaume anayenifahamu. Hatujaonana siku nyingi anataka kunitwanga bia moja. Je, nimkimbie???
Tena huyo unayemfahamu ni rahisi sana kuomba kwa masihara na mkampa kimasihara.
Kama unaheshima, hekima na utashi basi kimbia kabisa hiyo ofa.
 
Tena huyo unayemfahamu ni rahisi sana kuomba kwa masihara na mkampa kimasihara.
Kama unaheshima, hekima na utashi basi kimbia kabisa hiyo ofa.
Basi ndoa haina tofauti na utumwa kwa mwanamke
 
Ndiyo maana nauliza ndoa inauwa hiari ya moyo na utashi wa mwanamke kufanya Jambo analolipenda?

Kama ndivyo basi ndoa ni utumwa. Sasa utanishawishi vipi mm kuingia utumwani (kwenye ndoa)?
Naamini umesoma/unasoma comments za watu humu. Kila mmoja anaasa juu ya kutopokea ofa za pombe toka kwa mwanamme asiye mumeo.

Siyo kila unalolipenda linafaa kila wakati. Kama unapendelea kupewa ofa za pombe ukiwa single, utakapopata mume itabidi ubadikike, achana na ofa za pombe. Pombe ukishalewa ni rahisi kurubuniwa ukaachia mzigo kimasihara. Zingatia.
 
Pombe ukishalewa ni rahisi kurubuniwa ukaachia mzigo kimasihara. Zingatia.
Kwanini mnamchukulia mwanamke Kama kiumbe asiye na akili? Kwani yeye hawezi ku-calculate uwezo wake wa kubwia pombe? Ni lazima anapokunywa alewe?
 
Back
Top Bottom