Kwani kuotea ndevu nyumbani ndio kigezo cha kufukuzwa? Naambiwa nikajitegemee wanataka (wazazi) nife kwa njaa!

Kwani kuotea ndevu nyumbani ndio kigezo cha kufukuzwa? Naambiwa nikajitegemee wanataka (wazazi) nife kwa njaa!

Bora wewe mimi ouweka dreads nikafukuzwa home ety nishakua
 
Kiukweli ukishangaa ya Firauni utayaona ya wazazi wa Ki-Tanzania.

Mimi bado kijana (kwa ninavyojiona), japo udevu ushaniota ni mtu fulani hivi ambaye kiukweli maisha ya kuzungusha bahasha naona ni uduwanzi na nimeamua kukaa nyumbani mpaka muda huu. Nina miaka 27 na mara chache chache navusha demu zangu kwenye geto la nje nililopewa.

Kilinichonishangaza ni kwamba wazazi wanataka niondoke nikajitegemee. Sasa nijitegemee kivipi wakati sina hela? Na nitatokaje wakati sina cha kujilisha huko nje.

Kwasasa nina trade forex nasubiri mambo yakae sawa nipate nauli nikimbilie kwa sisteri ambaye yuko huko Dar Es Salaam ili na mimi nikainjoi mechi kwenye kiwanja cha Mkapa (kuoshaosha macho).

Hivi kweli mzazi unamfukuza mwanao nyumbani je unataka akafie huko huko kwa njaa? Kiukweli nimeumia na nimejua hizi ni siku za mwisho upendo wa wengi umepoa.

Mimi ni mhitimu wa kozi ya Uhasibu. Nasubiri kazi ya Serikali nikunje hata 1M, kuhusu CPA nitasoma nikitulia. Kwasasa nina mawazo nashindwa hata kula.
Mzazi asikubanie ni haki yako kukaa nyumbani kwenu kama vipi kamshtaki, au utakuwa unasarandia beki tatu ndio maana wamekuchoka?
 
Heading tu nimecheka nikajua unataka wa kweli waje waongee utumbo wao humu wa kutegemea wazazi
Unajua kuna watu wanaomba wazazi wafe ili warithi?
Wachawi wengi kwa kweli
Ila nitakuwa wa mwisho kuamini hii
Ila wapo tena wengi wana maisha haya
 
Kiukweli ukishangaa ya Firauni utayaona ya wazazi wa Ki-Tanzania.

Mimi bado kijana (kwa ninavyojiona), japo udevu ushaniota ni mtu fulani hivi ambaye kiukweli maisha ya kuzungusha bahasha naona ni uduwanzi na nimeamua kukaa nyumbani mpaka muda huu. Nina miaka 27 na mara chache chache navusha demu zangu kwenye geto la nje nililopewa.

Kilinichonishangaza ni kwamba wazazi wanataka niondoke nikajitegemee. Sasa nijitegemee kivipi wakati sina hela? Na nitatokaje wakati sina cha kujilisha huko nje.

Kwasasa nina trade forex nasubiri mambo yakae sawa nipate nauli nikimbilie kwa sisteri ambaye yuko huko Dar Es Salaam ili na mimi nikainjoi mechi kwenye kiwanja cha Mkapa (kuoshaosha macho).

Hivi kweli mzazi unamfukuza mwanao nyumbani je unataka akafie huko huko kwa njaa? Kiukweli nimeumia na nimejua hizi ni siku za mwisho upendo wa wengi umepoa.

Mimi ni mhitimu wa kozi ya Uhasibu. Nasubiri kazi ya Serikali nikunje hata 1M, kuhusu CPA nitasoma nikitulia. Kwasasa nina mawazo nashindwa hata kula.
Usiondoke kabisa, mpaka mambo yako yanyooke.

Au hao walikuokota tu, siyo wazazi wako? Bado kijana mdogo kabisa, miaka 27 tu, wanataka kukufukuza, siamini nnachokisoma.
 
Nina dawa ya kuizondoa na zisiote kamwe dozi 100,000 utatumia dozi 2 kwa miezi 4
 
Na ndio maana na trade kwa forex. Wao wanaona nalala wakati napambana na wave kila siku natafuta entry
Sasa trading si ndio unajimaliza kabisa. Maana baadae utakua unaliwa pesa utaanza msongo wa mawazo mwisho uanze ulevi uhamie kwenye udokozi.
 
Back
Top Bottom