Kwani kuotea ndevu nyumbani ndio kigezo cha kufukuzwa? Naambiwa nikajitegemee wanataka (wazazi) nife kwa njaa!

Kwani kuotea ndevu nyumbani ndio kigezo cha kufukuzwa? Naambiwa nikajitegemee wanataka (wazazi) nife kwa njaa!

Kiukweli bangi sivuti ila zamani nilikuwa nacheza kamari japo kwa sasa nimeachana nazo baada ya mzee kutishia kuniweka ndani. Nimepitia mengi sana aisee
Basi inaonekana we msumbufu sana hata chuo umemaliza kwa vita una GPA gani?
 
[emoji477]
FB_IMG_1705089700649.jpg
 
Unapotolewa uende ukapange ni kukuboost kweli. Si wanipe angalau mtaji nijisogeze
Ulishawaomba mtaji na kuwaeleza uhitaji wako kama mtoto wao wakakunyima?
Pengine labda wamekuona we ni kula kulala
 
GPA niliitusu si mchezo. Sheria ilikuwa ni kuingia kwa CA ya 30+ kwa hiyo nilinyooka vizuri sema tu ajira ndo mtiti
Hapo sawa, sasa acha ubishow uje nikupe kijiwe cha zege utakua unatembea na fundi ko kazi kila siku uhakika.
Ukipenda bata ka hivyo Uku Dar kuna mishangazi itakupoteza ka Mbosso uko tayari?
 
Nina miaka 27 na mara chache chache navusha demu zangu kwenye geto la nje nililopewa.
Hii ndio sababu kuu ya kufukuzwa ukajitegemee usiniulize kwanini yaan unawatomba kwa Ugali wa Mama una akili wewe? Unashiba unavusha unatomba kazi hufanyi unategemea Ugali wa Mama? Mbwembwe nyingi mtandaoni na unaishi kwa Mama?
 
Huyu atakua amelewa au labda ana stress zake anaamua kujifurahisha kwenye keyboard
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3]kapitie uzi wa ulianzaje kukaa ghetto uwe motivated utoke nyumbani
Kwakweli aende tu kule atapata visanga vya wengineo
 
Mimi nilitimuliwa home nikiwa na miaka 22 tu mzee kaniambia nioe au nikavue dagaa,niliondoka kweli na form four yangu ya 26 nikaingia mtaani nilianza kuchoma mawe na kupasua nauza nikawa nasukuma na mkokoteni kama mwaka mmoja hivi huku naishi kwa mama mdogo mwaka uliofuata nikaenda veta nikagonga miaka mitatu fani bomba nikakomaa mwenyewe kila kitu ndani ya miaka mitatu pale musoma na ule wa kupiga kazi ya mkokoteni ukawa mwaka wa 4,2016 nikamaliza mafunzo yangu nikakaa miaka 4 2020 ndo nikapata ajira leo hii mzee anapiga simu sana anaomba pesa nampa na mpaka sasa nasomesha mdogo wangu anachukua diploma ya civil engineering
Pengine wanataka ukajitegemee akili ifanye kazi
Roho mbaya tu, angekusomesha hiyo fani si angekurahisishia maisha na kutopoteza muda.

Ni basi tu waafrika tuna amini katika kuteseka, kunyanyasana, kudharauliana, kuaibishana, na kadhalika.
 
Usikubali kuondoka kwenye nyumba ya baba yako,Huyo baba yako ndio aondoke aende nyumbani Kwa baba yake......Bwana Yesu mwenyewe yupo Kwa baba yake ameketi upande wa kulia wewe ni nani usikae Kwa baba yako...Komaa nao mkuu
 
Back
Top Bottom