punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Unachukia kuoa kwa sababu hauko tayari kwa unachoita 'relatioship stress...' labda wewe bado ni dogo sana, kuna mtu alikudanganya kuwa watoto wa ku-adopt wote ni malaika??? Je kwa bahati ukikumbana na mwenye usumbufu utafanyaje?! Stress ziko kwenye mambo mengi utayakimbia yote?? Kama huna hisia zozote za kuwa na mwanamke hapo sawa, lakini kama unataka kuchakachuwa tu bila kuoa una laana kubwa. HAKUNA ANAYEKULAZIMISHA KUOA ila kumbuka, mara nyingi ukipingana na nature itakula kwako..... Tafakari.