punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Kuhusu mimi:Male 22 yrs,cna girlfriend and No plans to have one,i'm happy with my life.Kuna kitu kinanikera sana,hivi kwani ni lazima kila mtu aoe?????? kwanini nikisema nataka kuadopt mtoto watu wananiona mutant?:typing: i've seen people do it(stay single and they are happy)i'm not ready for Relationship Stress and i'm not sure if i will someday.:and one thing; I HATE MARRIAGE!!!!!!!!MARRIAGE SUCKS!!!!!!!!lol!
i'm not sure if WIFE is the acronym of that statement,i mean't single life sio kuchezea watoto wa watu,I think there are many things to do in this world other than marry and i can find many things to keep me busy.I was raised by my Mother alone, and sina bahati ya kukaa na baba hata wiki moja pamoja (si kwamba amekufa),I guess he don't care and i don't either,I'm working as a Network Admin. at a certain Org(Planning to go back to college) and i really hate when People asks me Utaoa lini.Meanwhile, Thanks JF Members,You are my Friends thou i can't see you.That means, you don't want to live With Idiot For Ever.
Ndoa ni maamuzi yako. Una sound kama una psychological problems zinazo originate from you past. Tafuta msaada kama hutajali.
Wazazi wanafikia atua ya kutaka kutoa radhi kisa mtoto ataki kuoa.
Ukiona hivyo ujue hujatulia....Wazazi wanafikia atua ya kutaka kutoa radhi kisa mtoto ataki kuoa.
Binafsi naona ni heshima tu iwapo wanandoa wenyewe wataiheshimu hiyo ndoa.
Huwezi kuwa kwenye ndoa na kunguru au kicheche wa kike/kiume , mtu asotimiza majukumu yake, asokuthamini wala kukujali na wewe eti uone unapata heshima ya kuoa/kuolewa.
Ukiona hivyo ujue hujatulia....
Kuoa si lazma ila km hujatulia ni bora uoe