Kwani madereva wa vibaby walker wana fujo sana?

Hizo gari nyingi ni za kampuni ya uber bila kunilikiwa na uber. Na wengi ni retired bodabodaz
 
Akili za kitoto kweli, hivi kama speed limit ni 80 why ninunue gari la 3500cc and you can achieve milage at lower cost kwa kuitumia baby walker. Ni akili mgando ndo maana hatuendelei always save,save save save katika kufanya mambo yako. Is not prestige kuendeshagari kubwa huku ukiwa maskini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kwahio wenye magari ya cc3500 hawana akili?
 
Wana penya kila chocho ndo mmana haya wewe na PRADO lako unaweza penya kwenye Hili Foleni..zaidi yakukaa kutulia dereva wa lori mbele yako akuamulie mwendo wa kwenda...Acha starlet bana RAHAAAA
 
Wana penya kila chocho ndo mmana haya wewe na PRADO lako unaweza penya kwenye Hili Foleni..zaidi yakukaa kutulia dereva wa lori mbele yako akuamulie mwendo wa kwenda...Acha starlet bana RAHAAAA
Acheni fujo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…