RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #81
Wengi tu wanafanya, umesomea wapi kuwasha taa ni alert ya kuovateki? Ndio nyie mnawasha taa halafu mnaingia tu as if taa zako ndio breki zangu.Aisee!
Ila hata wenye magari yao wanatuwashia sana tu, i thought ile kuwasha ni kumpa mtu alert tu kuwa i'm going to overtake you..