Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Tuambizane basi posa/mahari huwa ni kiasi gasi kwa kabila yenu?maana suala la kuoa huwa huwezi kukwepa utaratibu wa kikabila.
Mnapokea viumbe wanaohema wangapi kama mbuzi, kuku, ng'ombe, kondoo? Kabila langu dume la ng'ombe mmoja (hata awe mdogo), ndama mmoja,kondoo wawili.
Inavyoonekana wasukuma na wamasai wana dau kubwa,sijui kama wahaya, wangoni, wasambaa, warangi, wambulu,wameru,wanyamwezi,waluguru, wazaramo, wachaga, wapare,wazanaki, wamakonde etc.
Naomba kujua kabila lenu mahari ni kiasi gani,je hao wanaotaka ng'ombe wengi msichana wao akikutana na kijana wa kizaramo(mfano),hiyo rules za mahari hawabadilishi?
Mnapokea viumbe wanaohema wangapi kama mbuzi, kuku, ng'ombe, kondoo? Kabila langu dume la ng'ombe mmoja (hata awe mdogo), ndama mmoja,kondoo wawili.
Inavyoonekana wasukuma na wamasai wana dau kubwa,sijui kama wahaya, wangoni, wasambaa, warangi, wambulu,wameru,wanyamwezi,waluguru, wazaramo, wachaga, wapare,wazanaki, wamakonde etc.
Naomba kujua kabila lenu mahari ni kiasi gani,je hao wanaotaka ng'ombe wengi msichana wao akikutana na kijana wa kizaramo(mfano),hiyo rules za mahari hawabadilishi?