Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Naona wanabadilika taratibu na vijana ndo wanapenda lipa namba.nachkukia hasa uanaenda kariakoo kuna duka moja la cosmetics ukinunua ana bei nzur tu.vitu ving unachagua chagua ukifika kulipa unamuuliza naomba lipa namba anakwambia sina.ila lnina namba ya wakala toa.naweza kuelewa kuwa ni janja yake ya kuingiza pesa nying mana anaku force utoe pale pale ulipe. ndio mana nashangaa why this Lipa isiwe lazima kwa mfanyabiashara.mwanzon nilihis labda wanaogopq kuwa tracked kimahesab may be wanaogopa kodi. laki n kuna mtu akaniambia wala hizo hazihusiani.
NMB wapo vizuri, na mimi naitumia hiyo🤝Lipa namba shida ni makato....
Binafsi lipa namba natumia kutoka NMB tu, maana NMB kwenda lipa namba yeyote hamna gharama yoyote na pia napenda kutrack matumizi yangu.
NMB kila nikilipia kitu nakatwa 10% ya muamala so kila tarehe ya mwisho wa mwenzi naangalia nimekatwa sh ngapi.
ushamba tu! mitozo kibao!MCHAWI WA YOTE NI MAKATO BINI TOZO.
Mfano leo nimetuma sh.100,000 toka App ya CRDB kwenda tigo imekatwa sh.7100,halafu ili yule jamaa niliyemtumia atoe hiyo hela kama ilivyo imebidi nimtumie sh.105,000. so jumla nimelipa transaction charge ya sh.12,100 hii ni asilimia 12.1% ya hela niliyotuma. huu sasa si ni wehu.ningeenda kutoa ATM Ningekatwa 1200 tuu nikamlipa keshi.Sasa hapa tunaenda mbele au tunarudi nyuma.
Hapo ndo penye kipengele cha kuhamishia watu huko kwenye cashlesskwahiyo wewe kwa akili yako wakiacha kutoza hizo mia mia unahisi watafanya vipi maintainance ya hiyo mifumo.
Unahisi kampuni zitajiendeshaje labda??!!!
Saivi imekua na makato haivutii tenaLipa namba kwa kwetu hapa ni muhimu kuanza na hawa wafanyabiashara.