Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Lipa namba shida ni makato....
Binafsi lipa namba natumia kutoka NMB tu, maana NMB kwenda lipa namba yeyote hamna gharama yoyote na pia napenda kutrack matumizi yangu.
NMB kila nikilipia kitu nakatwa 10% ya muamala so kila tarehe ya mwisho wa mwenzi naangalia nimekatwa sh ngapi.
Binafsi lipa namba natumia kutoka NMB tu, maana NMB kwenda lipa namba yeyote hamna gharama yoyote na pia napenda kutrack matumizi yangu.
NMB kila nikilipia kitu nakatwa 10% ya muamala so kila tarehe ya mwisho wa mwenzi naangalia nimekatwa sh ngapi.