kwani mfumo wa cash less unasua sua Tanzania

kwani mfumo wa cash less unasua sua Tanzania

Lipa namba shida ni makato....
Binafsi lipa namba natumia kutoka NMB tu, maana NMB kwenda lipa namba yeyote hamna gharama yoyote na pia napenda kutrack matumizi yangu.
NMB kila nikilipia kitu nakatwa 10% ya muamala so kila tarehe ya mwisho wa mwenzi naangalia nimekatwa sh ngapi.
 
nachkukia hasa uanaenda kariakoo kuna duka moja la cosmetics ukinunua ana bei nzur tu.vitu ving unachagua chagua ukifika kulipa unamuuliza naomba lipa namba anakwambia sina.ila lnina namba ya wakala toa.naweza kuelewa kuwa ni janja yake ya kuingiza pesa nying mana anaku force utoe pale pale ulipe. ndio mana nashangaa why this Lipa isiwe lazima kwa mfanyabiashara.mwanzon nilihis labda wanaogopq kuwa tracked kimahesab may be wanaogopa kodi. laki n kuna mtu akaniambia wala hizo hazihusiani.
Naona wanabadilika taratibu na vijana ndo wanapenda lipa namba.


Juzijuzi nimefanya shoping maduka mawili tofauti maana duka la kwanza alikuwa na mzigo ila sikuuelewa nikachukua kidogo nikasogea duka la pili nikachukua mzigo.

Cha ajabu wa duka la kwanza nimelipa fresh kwa lipa namba na discout juu ila huku kwa kikongwe mshangazi kwanza nimekuta amepauka😀😀😀inaonekana siku nzima hajauza ila anamajivuno nikachuka mzigo mda wa kulipa analazimisha nikatoe hela kwa wakala ndo nimpe nikamchana laivu mbona huwa nafanya manunuzi kwa lipa namba na inakubali.

Huyu old skul aling'ang'ana na visingizio kibao mara lipa namba inasumbua mara hela inaweza isifike, nikaona isiwe kesi ngoja nifanye anavyotaka nisepe.Ila kibiashara hizi ng'ombe haziwezi kutengeneza loyal customers zaidi zaidi unakuta mtu miaka nenda rudi yupo vilevile biashara haikui na anaingia kundi la wachuuzi sugu🤝

Watu wengine hatuwezi kuzurura na madafu inakuwa kero kuzurura na cash nyingi isiyo na thamani wakati mpaka kuna migahawa unalipa kwa LIPA NAMBA.

📌📌📌Serikali ilipigie chapuo hili swala la kupunguza matumuzi ya cash na ikiweza ifanye system intergration kuweza kujikusanyia kodi bila TRA kuzungukia maduka na kutoa room ya kubargain kati yao na wafanyabiashara.Ambapo ndo milango ya rushwa inaanzua hapo.
 
Lipa namba shida ni makato....
Binafsi lipa namba natumia kutoka NMB tu, maana NMB kwenda lipa namba yeyote hamna gharama yoyote na pia napenda kutrack matumizi yangu.
NMB kila nikilipia kitu nakatwa 10% ya muamala so kila tarehe ya mwisho wa mwenzi naangalia nimekatwa sh ngapi.
NMB wapo vizuri, na mimi naitumia hiyo🤝
 
Mzee info track..tra na taskforce...mchinahapa bongo anataka Kash only
 
MCHAWI WA YOTE NI MAKATO BINI TOZO.

Mfano leo nimetuma sh.100,000 toka App ya CRDB kwenda tigo imekatwa sh.7100,halafu ili yule jamaa niliyemtumia atoe hiyo hela kama ilivyo imebidi nimtumie sh.105,000. so jumla nimelipa transaction charge ya sh.12,100 hii ni asilimia 12.1% ya hela niliyotuma. huu sasa si ni wehu.ningeenda kutoa ATM Ningekatwa 1200 tuu nikamlipa keshi.Sasa hapa tunaenda mbele au tunarudi nyuma.
ushamba tu! mitozo kibao!
 
kwahiyo wewe kwa akili yako wakiacha kutoza hizo mia mia unahisi watafanya vipi maintainance ya hiyo mifumo.

Unahisi kampuni zitajiendeshaje labda??!!!
Hapo ndo penye kipengele cha kuhamishia watu huko kwenye cashless
 
Back
Top Bottom