Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Magufuli ana roho mbaya sijapata kuona. Walimwita JK dhaifu. Kweli Magufuli sasa atakuwa Rais wa maisha ila wananchi wajiandae kulia.
Tume huru mnayo tatizo mgombea wenu hakuwa na uwezo hata robo wa kupambana na MAGUFULI ,,kuweni wapole tu
 
Mkuu kama maandamano hayana mashiko kwa watanzania tambua kuwa hata kususa hakuna mashiko yoyote.....utasusa wewe wenzako watakula tu

Kama kweli upinzani ulishinda na ukaibiwa maana yake ni kwamba upinzani unawafuasi wengi kuweza kudai haki zao kwa maandamano
Lakini kama unaamini ccm ndio yenye wafuasi wengi basi upinzani hauna sababu ya kulalamika maana utakua umeshindwa kihalali

Binafsi naamini kususia ndio njia nyepesi zaidi ya kumpa uhalali ccm maana kuna akina shibuda kama 20 hivi watashiriki

Kama maandamano hayawezekani basi tuna safari ndefu sana
 
Ha!

Kidogo kidogo mtakuja kunielewa tu.

Hata wale wenye vichwa vigumu kama mawe, nao ipo siku watanielewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…