Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Tanzania hakuna viongozi wa upinzani. Nashauri wajiuzulu wote tuanze upya.
 
Zitto kabwe mbunge mstaafu aliwahi kusema kugomea uchaguzi sio njia ya kupata tume huru na haki.

Mtoa mada tulia hvy hvy
 
Kweli kabisa, lakini sometimes we have to learn in hard way. Mashabiki maandazi labda watapungua turudi kujadili mustakabali wa Taifa letu bila mihemuko.

Upinzani hadi sasa wanashindwa kusimamisha wagombea majimbo yote, hili nani alaumiwe? Just a simple case, lazima tufahamu haitokuja siku CCM watawapa fair platform.

Kelele za JF na Tweeter huwadanganya sana kama vile zitageuka kura. Baada ya uchaguzi huu, kama wataingia tena awamu ijayo na mguu ule ule kama walivyopuuza maoni yetu baada ya zile blunders za 2015 watakula kisago kile kile.
Sawasawa mkuu
 
View attachment 1615572
Hapa ndipo nimewakuta watz wenzangu wakimaliza hasira zao mida hii... Wengine wako busy tu na maisha yao like nothing significant is going on today... The thing you term it significant... Amazingly Nobody cares hapa mtaani..

Analysis yako umeitoa like huwajui watz vizuri...

Opposition wameanza kulia kuchezewa rafu za kuibiwa kura leo...?

Assuming watz wamekuwa wakikasirika kwenye chaguzi zilizopita, Hizo hasira zimekuwa zikiishia wapi...?

Unajua nini opposition wanafanya Mkuu..!

Mnaishi kwa matumaini(HOPE) mkitegemea hizi rafu one day watz watazi-consider significant, then watachukua hatua za kudai mageuzi kwa njia ambazo mlidhan hata sasa zingefanikiwa ila so far the response is poor...

Mkuu wangu, Hope is not a strategy...

Kwa kuongezea opposition wanapaswa kuacha kuwa bendera fuata upepo...

Mnawekeza nguvu nyingi kuibua ajenda zinazolenga kumshambulia mtu asiyedumu badala ya chama...

Kama mazishi ya ajenda ya ufisadi yalivyofanyika 2015, ndivyo ajenda ya udikteta itavyozikwa 2025... Then mtaanza kutapatapa kutafuta madhaifu ya mgombea ajae ili mjenge ajenda... Namshangaa sana Malisa anavyojichosha kuandaa magazeti ya kujustify kuwa awamu hii ni ya udikteta... 2025 ndio atajua alikuwa hajui..

Upinzani lazima ubadilike.
Nakataa kabisa na unacho suggest! Kwamba upinzani kosa lao ni kumshambulia mtu na siyo chama? No way! Hilo la watanzania kuingia barabarani namba sana unisome vizuri.... hata mimi nimekubali kabisa watanzania ni vigumu sana kuingia barabarani. Lakini nilichosema ni kuwa njia ya kushiriki kwenye uchaguzi halafu uporaji unapotokea kama ilivyokuwa kuna uwezekano (japo mdogo sana) wa kuamsha watu kuliko kugomea uchaguzi na kuwahamasisha watu kuingia barabarani. Sikuelwi kabisa kabisa unavyosema wapinzani hawana ajenda au wanabadilisha ajenda. Kwanza ukisema hivyo ina maana unakubali kuwa CCM wanashinda kihalali kitu ambacho ni uongo wa mcahna kweupe.
 
Kama chadema wakigomea kuna vyama vingine upinzani gelesha vitaonekana vimeshiriki na ccm itashinda kwa kishindo....

Tukisema kuomba katiba mpya haiwezi kupatikana kwa staili hii.....never...
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Mimi nilisema muda mrefu...kushiriki ni kuhalalisha uchaguzi huu. Lakini hawakusikia. Sasa vyama vya upinzani vimerudi kwenye political wilderness.
 
Mimi naona kuna faida imepatikana,,at least wamefanikiwa Ku expose uovu waliotendewa na kila mtu ameona hii ina faida mbele ya safari kama ulivyosema mambo ya kisiasa matokeo yake sio lazima yawe papo kwa papo.
 
Mimi naona kuna faida imepatikana,,at least wamefanikiwa Ku expose uovu waliotendewa na kila mtu ameona hii ina faida mbele ya safari kama ulivyosema mambo ya kisiasa matokeo yake sio lazima yawe papo kwa papo.
Kwani mlikuwa hamjui?
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Click to expand...
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
 
Unawezaje kuwawekea shinikizo wasiojulikana?

Hii hujuma imefanikiwa kwa msaada wao.

Pia sidhani kama CCM wanaogopa mtu hapa duniani,kama walifikia kutangaza hadharani kuwa sasa wataua kwa sindano na si kwa nguvu(risasi)

Acha mapenzi ya Mungu yatimizwe,kwani kuna maksudi katika kila jambo
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom