Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Nagongewa mlango kufungua wadau wanataka Hela ya ulinzi shirikidhi a.k.a sungusungu,na juzi wakati narudi usiku waliwweka limiti ya mtu kutembea usiku,hii SI sawa ,polisi wafanye majukumu Yao, ninalipa Kodi, haiwezekani kwenye nchi ambayo tunalipa Kodi zetu washindwe kudumisha usalama wetu ,sitetei wizi ila ni wajibu wa wanaotumia kodi zetu kutulinda