- Thread starter
- #21
We unaelewa mana jeshi kuingia barabarani kuzoa condom siku nzimaAcha ujinga.. hapa unazungumzia namna raisi alivyovunja katika, na namna maandamano yalivyozuiliwa, na mimi nahitaji fact namna hiyo katiba ilivyovunjwa, na namna hayo maandamano yalivyozuiliwa.
Swala la elimu utalianzishia mada yake baadae.