Kwani Shilole haoni aibu?

Kwani Shilole haoni aibu?

Sasa mbna huyo Kiben10 wa Shilole, kasema alimsaidia kuichomoa, na yeye sio authorized dealers. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda ni mfanyakazi wa bank
 
Msichokijua ni kwamba hawa mastaa wengi wa bongo huwa wanatoka na viongozi wakubwa wa juu sasa hao viongozi wameowa ili kufunika kombe na fununu ndio wanaamua kujifanya wameolewa kama wale kina Aisha mashauzi kina buheti mpaka kina zari wanaokula mzigo wana ndoa zao wametulia ni kama aziz ki alivyookoa ndoa ya engineer hersi iliyokuwa taaban eti dogo janja alimuooa uwoya kwenye mitandao wanafake sana hawa jamaa.
 
Msichokijua ni kwamba hawa mastaa wengi wa bongo huwa wanatoka na viongozi wakubwa wa juu sasa hao viongozi wameowa ili kufunika kombe na fununu ndio wanaamua kujifanya wameolewa kama wale kina Aisha mashauzi kina buheti mpaka kina zari wanaokula mzigo wana ndoa zao wametulia ni kama aziz ki alivyookoa ndoa ya engineer hersi iliyokuwa taaban eti dogo janja alimuooa uwoya kwenye mitandao wanafake sana hawa jamaa.
Kwamba hakuna vitendo vya ngono baina yao? We sema wanatembea na viongozi na wasio viongozi au kwa lugha nyingine ni malaya. Tena viongozi huwa hawakai, wanatumia tumia kingono na kibiashara kisha wanawaacha.
 
Kijo ninavyomjua nadhani pale yupo kimkakati,ila kijo jamani kamanda umeniangusha
 
na hiyo ndio maana ya extrovert shipa la haya hawanaga na hapo ukute shilole anashindwa kuua mende nyumbani kwake lkn ujasiri wa kukaa na kibenten mbele ya mikamera na watu anao!.
wanapenda attention na ndicho mnachompa mnafikiri anashindwa kufanya hivyo kisirisiri..? hiyo ni hulka yake.. kwenye jamii haya mambo yapo na wengine mnafanya kisiri
 
Inasikitsha sana Mwili fuso akili kisoda...Midemu mikubwa yenye pesa kuchukua vitoto ni aibu.
 
Ni matumizi mabaya ya akili na muda kuhangaisha na mambo ya watu wazima wawili walioamua kuishi maisha yao.........
 
mnaomponda shilole wote mna wivu tu.....sijaona kosa lake kabisa anafanya akipendacho kwa muda wake na kwa pesa zake......yaan mwanaume mzima unakuwa na tabia za umbea kama hizi inaskitisha sana🙄😷
 
Back
Top Bottom