Kwani Simba SC hamuogopi Yanga hii?

Kwani Simba SC hamuogopi Yanga hii?

Waulize Madrid, walikuwa na zidane,Ronaldo de Lima, Beckham, Figo,, Raul, salgado,

Ubingwa wa uefa champion ilikuwa ndotto 😁
 
Waulize Madrid, walikuwa na zidane,Ronaldo de Lima, Beckham, Figo,, Raul, salgado,

Ubingwa wa uefa champion ilikuwa ndotto [emoji16]
Basi walikosa professional coacher type ya Gamond
 
Alikua kama konokono kama mlivyokua mnamuita..leo kawa active? Kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha...
[emoji23][emoji23][emoji23] bila yeye .... champions ship msingetoboa
 
JUST IMAGINE HUKU CHAMA , HUKU PACOME HUKU AZIZ KI [emoji119][emoji119][emoji91] WANANCHi

Yanga sc wamemtambulisha mwamba wa lusaka Clatous Chota Chama kama nyota wao Mpya kuelekea msimu ujao pale Jangwani Yanga Afrika , mabingwa hao msimu uliopita walitamba na nyota wao AZIZ KI, PACOME ZOUZOUA na MAX NZINGELI kunako mstari wa mbele wa Yanga sc wameona haitoshi wamemleta nyota tegemeo wa Simba sc CLATOUS CHAMA yaani moto juu ya moto [emoji119][emoji91][emoji91]..

NB: Yaani hapa naogopa mpaka natetemeka Kila nikikitazama kikosi hiki[emoji23][emoji23]

View attachment 3033440
Midfielder haina balance anahitajika mtu mwingine pembeni ya Aucho. Kati ya chama na max mmoja anatakiwa kumpisha mudathir
 
Back
Top Bottom