Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua kama konokono kama mlivyokua mnamuita..leo kawa active? Kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha...Chama ndio alikuwa most active player wenu
Kwenye swala la Age hata team iwe na madaktari bingwa mia Injury haziepukiki mjiandae msimu ujao kwa maumivi
Nyie mchukueni konokono huyo msitafute justifications...[emoji23][emoji23][emoji23] bila yeye .... champions ship msingetoboa
Midfielder haina balance anahitajika mtu mwingine pembeni ya Aucho. Kati ya chama na max mmoja anatakiwa kumpisha mudathirJUST IMAGINE HUKU CHAMA , HUKU PACOME HUKU AZIZ KI [emoji119][emoji119][emoji91] WANANCHi
Yanga sc wamemtambulisha mwamba wa lusaka Clatous Chota Chama kama nyota wao Mpya kuelekea msimu ujao pale Jangwani Yanga Afrika , mabingwa hao msimu uliopita walitamba na nyota wao AZIZ KI, PACOME ZOUZOUA na MAX NZINGELI kunako mstari wa mbele wa Yanga sc wameona haitoshi wamemleta nyota tegemeo wa Simba sc CLATOUS CHAMA yaani moto juu ya moto [emoji119][emoji91][emoji91]..
NB: Yaani hapa naogopa mpaka natetemeka Kila nikikitazama kikosi hiki[emoji23][emoji23]
View attachment 3033440