Kwani Suzuki Escudo ina shida gani wakuu?!

Kwani Suzuki Escudo ina shida gani wakuu?!

Kwa kifupi model ambayo nina uzoefu nayo kidogo ni hizi za 2005 - 2010. Zina specifications tofauti ila nitakuambia machache nayojua

Advantages
1. Ni gari ngumu, himilivu kuanzia body mpaka engine (uzoefu wangu engine za petrol J20 ya 2000cx na J24 ya 2400cc

2. Ni gari inayotulia barabarani, nzito, ina steering nzuri (precise) na haikupi mawazo ya uoga ukiie desha

3. Spare zipo na ni rahisi kufanya service

Disadvantages
1. Si gari yenye nguvu/kasi sana (hizi zenye cc2000)
na zile za 2400cc zina nguvu ila fuel consumption si nzuri sana kwa sababu ni 4 speed automatic.
Manual ni 5 speed na zinaweza zikakupa perfomance nzuri zaidi

2. Si gari comfortable sana (lakini si mbaya hata kidogo). Wind noise na engine noise zinaingia ndani kwa urahisi kiasi.

Nikikumbuka nyingine nitaongezea. Kama mtu una 25-28m na unaka SUV ambayo si pasua kichwa, imara na madhubuti, hii si chaguo baya hata kidogo
Mkuu vipi kuhusu Escudo yenye engine ya j20, cc2000 na gearbox ya manual 5 speed ukilinganisha na cc 2400. İpi nzuri kwenye reliability, fuel consumption nk
 
Mie ninayo J24, mannual ni cc 2,400 inanipa average ya 10-12 km/L.

Disadvantage. Leg room ya sit za nyuma ni ndogo.
Stability sio nzuri, speed zaidi ya 170km/hr sio salama.
Dash board in 220km/hr kuzifuta lazima uwe na roho ngumu
kwa barabara zetu hizi ukitembea zaidi ya km 140/hr unajitafutia matatizo tu
 
Mkuu vipi kuhusu Escudo yenye engine ya j20, cc2000 na gearbox ya manual 5 speed ukilinganisha na cc 2400. İpi nzuri kwenye reliability, fuel consumption nk
J20 yenye 5 speed manual inakula mafuta vizuri zaidi hasa ukibadili gear vizuri (kwa sababu una control gear changes).
Bado ya cc2400 itakuwa na nguvu zaidi ila zote ni very reliable.
 
Mkuu, kuna jamaa yangu ana J24 (Auto) lakini inampa 5km/l shida itakua nini.
Plug kaweka OG, O2 sensors kabadili na kafanya full service including kubadili Gearbox oil

Una jamaa mtaalam wa hizi gari anaweza mchekia na kumwambia nini cha kubadili? Nlimwekeza kwa fundi ambae kashindwa tatua tatizo
Kama yupo Arusha Kuna mtaalam anaweza kumsadia.
Hiyo consumption sio kabisa lazima Kuna kitu hakipo sawa. Hata ukiangalia reviewers mtandaoni hiyo gari haliwezi kula Mafuta hivyo, hata Ile yenye cc 3,500 inaenda 8-10 km/L
 
J20 yenye 5 speed manual inakula mafuta vizuri zaidi hasa ukibadili gear vizuri (kwa sababu una control gear changes).
Bado ya cc2400 itakuwa na nguvu zaidi ila zote ni very reliable.
Sawa Sawa. Vipi kuhusu mwendo?! Inaetembea?
 
Lakini kwa hii
Kama yupo Arusha Kuna mtaalam anaweza kumsadia.
Hiyo consumption sio kabisa lazima Kuna kitu hakipo sawa. Hata ukiangalia reviewers mtandaoni hiyo gari haliwezi kula Mafuta hivyo, hata Ile yenye cc 3,500 inaenda 8-10 km/L
Lakini kwa hiyo engine, kama anakaa sana kwenye foleni na gari si mpya sana inaweza kumpa 7-8km/l Max. Pengine 5km/l ni mbaya so acheki na huo ushauri wa juicheki gari kwanz
 
Lakini kwa hii

Lakini kwa hiyo engine, kama anakaa sana kwenye foleni na gari si mpya sana inaweza kumpa 7-8km/l Max. Pengine 5km/l ni mbaya so acheki na huo ushauri wa juicheki gari kwanz
Kuna baadhi ya watu kufanya hesabu ya consumption ya Mafuta hawawezi so wanakosea halafu anakuja na wrong conclusion. Anaweka Mafuta ya 10K hata taa haizimi alafu nanaleta malalamiko kuwa gari inakula Mafuta.
 
J20 haina mwendo. Kwa hiyo kama unaipenda sana hiyo gari na unataka mwendo bora uchukue J24
Nimecheki baadhi ya review kuhusu ya J24, hizi engine zina tatizo ya head gasket kutanuka.

Nadhani option nzuri ni J20 with 5 speed manual gearbox for both fuel consumption and performance
 
Nimecheki baadhi ya review kuhusu ya J24, hizi engine zina tatizo ya head gasket kutanuka.

Nadhani option nzuri ni J20 with 5 speed manual gearbox for both fuel consumption and performance
Kama plan Yako ni kuja kuliuza utapata shida sana kupata mteja wa Mannul. Hawa madereva wa 2000 three pedal ni mtihani.

Uzuri wa Mannul hakuna atakae kuja kuazima gari Yako.
 
Kama plan Yako ni kuja kuliuza utapata shida sana kupata mteja wa Mannul. Hawa madereva wa 2000 three pedal ni mtihani.

Uzuri wa Mannul hakuna atakae kuja kuazima gari Yako.
kuuza ni kipengele ila sijali sana. Option ya manual ni nzuri cause inakuja na gear tano wakati auto ni gear nne tu.

Inakua kama harrier 2nd generation. Gari kubwa engine ndogo 2az na gearbox in ratio ndogo.

Halafu kutokana na uzoefu wangu nafikiri gari ikiwa na engine ndogo inakua nyepesi zaidi ikiwa na gearbox ya manual kuliko auto.
 
Mkuu, kuna jamaa yangu ana J24 (Auto) lakini inampKatapila hiyo, cheki nozzlea 5km/l shida itakua nini.
Plug kaweka OG, O2 sensors kabadili na kafanya full service including kubadili Gearbox oil

Una jamaa mtaalam wa hizi gari anaweza mchekia na kumwambia nini cha kubadili? Nlimwekeza kwa fundi ambae kashindwa tatua tatizo
 
170kph si salama kwa gari nyingi sana na hizi barabara zetu ila Mimi yangu ilikuwa J20, barabarani ilikuwa inatulia sana kuliko hata vanguard kwa uzoefu wangu. Ila sijawahi kuendesha zaidi ya 170, max ilikuwa 160 tena vipande vifupi sana na mara chache sana.
Leg room na boot ni kweli ziko ltd kidogo
Wakipata ajali utasikia ajali haina kinga
 
Back
Top Bottom