ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Wadau nakumbuka kipindi cha zamani posts kulikuwa na miti ya mikungu kila kona mpaka maeneo ya Osterbay hadi baadhi sehemu za Masaki.
Ukienda Morogoro kuna barabara ina miembe dodo pande zote yaaani kulikuwa na miti ya matunda barabarani kwanini hii isiwe moja ya taratibu kuliko hii miti ya kizungu faida take moja tu kivuli.
Mfano nimeenda nchi za kiarabu nuingi barabarani wamepanda mitende hii naona inafaa yaani hata minazi kipemba inafaa tu kuliko hii miti, langu wazo tu asanteni.
Ukienda Morogoro kuna barabara ina miembe dodo pande zote yaaani kulikuwa na miti ya matunda barabarani kwanini hii isiwe moja ya taratibu kuliko hii miti ya kizungu faida take moja tu kivuli.
Mfano nimeenda nchi za kiarabu nuingi barabarani wamepanda mitende hii naona inafaa yaani hata minazi kipemba inafaa tu kuliko hii miti, langu wazo tu asanteni.