Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,877
- 2,314
Binafsi si shabiki wa madirisha yanayotamba siku hizi, aluminiamu na pvc. Sababu kubwa ni kutokuwa na uimara wa kutosha na pia hata yakifunguliwa yanachukua sehemu kubwa ya dirisha na hivyo kuzuia hewa.
Hii ni mbaya zaidi kwa mimi wa sehemu ya joto. Madirisha haya yakifungwa, huko ndani mtajuta kuishi ndani hilo jengo. Kwani madirisha mengine ya kisasa ni yepi tukiacha yale ya tulipotoka?
Ndiyo tumekwama hapo?
Wabunifu mpo wapi?
Hii ni mbaya zaidi kwa mimi wa sehemu ya joto. Madirisha haya yakifungwa, huko ndani mtajuta kuishi ndani hilo jengo. Kwani madirisha mengine ya kisasa ni yepi tukiacha yale ya tulipotoka?
Ndiyo tumekwama hapo?
Wabunifu mpo wapi?