hahahaha, nakumbuka wakati naamia kwenye iyo nyumba ( kitambo kidogo )
changamoto ya mbu iliniumiza kichwa kujua wapi wanaingilia
suspect ya kwanza ilikua chini ya mlango wa kuingilia, nikaweka tambala, jioni yake mambo yaleyale , nikasema poa nimeshindwa
siku za mbeleni , niko dirishani kabisa napiga chabo dada flani kwa nje ( yeye hanioni ) ilikua mishale ya saa 12 ivi , ghafla naona hawa viumbe wakifanya yao kinamna hii 👇
View attachment 1828400
iyo zigzag path ni vile wanajigongagonga kwenye slider ya nje then ya ndani, ya nje, ya ndani , ya nje ya ndani huku akiongoza mbele kwa shida, uyooooooo mpaka ndani