Kwani vipaumbele vya vijana wa kibongo ni vipi?

Kwani vipaumbele vya vijana wa kibongo ni vipi?

Mbwilimbwili

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
183
Reaction score
282
Wazima humu, hivi ni mimi nipo nyuma ukilinganisha na vijana wenzangu au ni vp?

Mfano, miaka fulani nilikua nafanya kazi kwenye kampuni moja hivi nilikua nina utaratibu kila nikishuka kituoni nanunua zangu gazeti daily news au the citizen, mwananchi n.k naenda zangu ofisini, likini nikifika wananishangaa wananiponda kutumia hela yangu kununua magazeti (swaga za kizee).

Mimi ni msikilizaji wa radio na natizama tv kupata daily updates, hii imekua inanifanya tukiwa pamoja na wana wanaona nazingua, wanapendelea zaidi movies, vituko.

Nikikaa na wenzangu nikisema tujadili issuses kuhusiana na michakato yetu ya kila siku na progress unaona kabisa watu wanakua kama wanyonge hivi, ila tukipiga stori za misambwanda, minyanduano, man u, Simba na Yanga, Feysal, Konde boy hapo tutaongea mpaka asubuhi.

Sasa najiuliza mimi nakwama wapi labda ili niende na kasi ya washikaji?
 
Wazima humu, hivi ni mimi nipo nyuma ukilinganisha na vijana wenzangu au ni vp? mfano miaka fulani nilikua nafanya kazi kwenye kampuni moja hivi nilikua nina utaratibu kila nikishuka kituoni nanunua zangu gazeti daily news au the citizen, mwananchi n.k naenda zangu ofisini, likini nikifika wananishangaa wananiponda kutumia hela yangu kununua magazeti (swaga za kizee).
- mimi ni msikilizaji wa radio na natizama tv kupata daily updates( hii imekua inanifanya tukiwa pamoja na wana wanaona nazingua, wanapendelea zaidi movies, vituko)
- nikikaa na wenzangu nikisema tujadili issuses kuhusiana na michakato yetu ya kila siku na progress unaona kabisa watu wanakua kama wanyonge hivi, ila tukipiga stori za misambwanda, minyanduano, man u, Simba na Yanga, Feysal, Konde boy hapo tutaongea mpaka asubuhi

sasa najiuliza mimi nakwama wapi labda ili niende na kasi ya washikaji?
Vijana wa bongo mawazo yao ni ngono na kubet.

Ukiwa tofauti na wao tu utasemwa mpaka.

Wewe endelea na maisha unayohisi yanakufaa
 
Kama taifa bado vipaumbele ni kilimo, mifugo, uvuvi, nishati na ujenzi wa miundo mbinu unategemea nini kwa vijana wa leo... we komaa na daily news .....huko utaangalia tender na matangazo ya ajira ambazo zilishachukuliwa na kubakiza formalities.
 
Vijana wenzangu wakiwa bodaboda wanajiona wamejiongeza sana kwenye maisha. Wanaona wamefika na hawana hamasa ya kuendelea zaidi ya hapo.
Ila tusishangae sana, wazazi wa hovyo huleta watoto wa hovyo zaidi.
 
Kama taifa bado vipaumbele ni kilimo, mifugo, uvuvi, nishati na ujenzi wa miundo mbinu unategemea nini kwa vijana wa leo... we komaa na daily news .....huko utaangalia tender na matangazo ya ajira ambazo zilishachukuliwa na kubakiza formalities.
mimi napendelea kusoma makala mkuu na uchambuzi wa issues mbalimbali mfano uchumi, kijamii n.k yaani napata kitu kidogo cha kufeed ubongo
 
Yani nakwambiaje hata kwa wanawake ni hivo hivo pia.
MF lbd ukae uanze kuongea mambo ya muhimu utasikia tu badae aah yule nae anajifanya msomi sana, Lkn kaa kuongea kuhusu fulani kukosa rent eeeh watamdadavua hadi chin ya kitanda
hii iko tofauti sana na vijana wa nchi zilizoendelea, ndio maana wanatupiga gap tu kila uchwao, nilichogundua bongo ukikaza sura kidogo tu unatoboa maana tusiojielewa tupo wengi
 
Kwenye kuongea mambo ya maana unaweza kujikuta ulimi umeteleza ukagusa mamlaka ukapotea so wanaona bora wajadili mpira kubet na mademu.
 
1. Kubet
2.kushabikia simba na yanga
3. Kuwashabikia Ali kiba , Mond na harmonize
4.kuishabikia chadema na ccm
5.kua chawa wa wasanii
6.kwenda kidimbwi, kitambaa cheupe na wavuvi kempu
7. Kujiunga jamiiforum.
 
Kwenye kuongea mambo ya maana unaweza kujikuta ulimi umeteleza ukagusa mamlaka ukapotea so wanaona bora wajadili mpira kubet na mademu.
mkuu inawezekana kweli siku moja tukafikia nchi ya ahadi kama taifa bila uwajibikaji wa mtu mmoja mmoja?
 
Wazima humu, hivi ni mimi nipo nyuma ukilinganisha na vijana wenzangu au ni vp?

Mfano, miaka fulani nilikua nafanya kazi kwenye kampuni moja hivi nilikua nina utaratibu kila nikishuka kituoni nanunua zangu gazeti daily news au the citizen, mwananchi n.k naenda zangu ofisini, likini nikifika wananishangaa wananiponda kutumia hela yangu kununua magazeti (swaga za kizee).

Mimi ni msikilizaji wa radio na natizama tv kupata daily updates, hii imekua inanifanya tukiwa pamoja na wana wanaona nazingua, wanapendelea zaidi movies, vituko.

Nikikaa na wenzangu nikisema tujadili issuses kuhusiana na michakato yetu ya kila siku na progress unaona kabisa watu wanakua kama wanyonge hivi, ila tukipiga stori za misambwanda, minyanduano, man u, Simba na Yanga, Feysal, Konde boy hapo tutaongea mpaka asubuhi.

Sasa najiuliza mimi nakwama wapi labda ili niende na kasi ya washikaji?
Uko kama mm mkuu,

Ila mm namshukuru Mungu marafiki zangu wengi ni watu wazima(siyo rika langu), na ndiyo tunaongea na kuelewana,

Na hata ajira yangu ya kwanza nilipata haraka sana kupitia haohao wazee, nahisi kwakua waliamini haka kajamaa kako vizuri

Hata kwenye gari yangu playlist ni nyimbo za wazee wetu na zile za ukomboz, mfano, Ife ana FRELIMO, Tiyende Pamodzi, Tanzania yetu ndiyo nchi ya furaha n.k

Sasa sijui nimezeeka kabla ya wakati yaani sijui[emoji3]

Ila mademu hata sisi kuna wakati huwazungumzia, maana ni kama Ndoige
 
Back
Top Bottom