Kwani vipaumbele vya vijana wa kibongo ni vipi?

Kwani vipaumbele vya vijana wa kibongo ni vipi?

Sisi enzi zetu tulikuwa tunapeana michongo ya kuzamia tu na dili za
Nje ya nchi
Vijana siku hizi wakikaa wao kutwa kuzungumzia matamasha ya wasanii na maisha yao,umbea,udaku

Ndomana kizaz cha vijana wa sasa kuna mashog wengi

Ova
 
Uko kama mm mkuu,

Ila mm namshukuru Mungu marafiki zangu wengi ni watu wazima(siyo rika langu), na ndiyo tunaongea na kuelewana,

Na hata ajira yangu ya kwanza nilipata haraka sana kupitia haohao wazee, nahisi kwakua waliamini haka kajamaa kako vizuri

Hata kwenye gari yangu playlist ni nyimbo za wazee wetu na zile za ukomboz, mfano, Ife ana FRELIMO, Tiyende Pamodzi, Tanzania yetu ndiyo nchi ya furaha n.k

Sasa sijui nimezeeka kabla ya wakati yaani sijui[emoji3]

Ila mademu hata sisi kuna wakati huwazungumzia, maana ni kama Ndoige
hapana mkuu, ni fikra zako ziko mbele zaidi hata ya rika ulilo nalo
 
Sisi enzi zetu tulikuwa tunapeana michongo ya kuzamia tu na dili za
Nje ya nchi
Vijana siku hizi wakikaa wao kutwa kuzungumzia matamasha ya wasanii na maisha yao,umbea,udaku

Ndomana kizaz cha vijana wa sasa kuna mashog wengi

Ova
nakubali mkuu, madogo sas hivi wamejaa ujinga mwingi kupenda vitonga na ujinga
 
Back
Top Bottom