Kwani vipaumbele vya vijana wa kibongo ni vipi?

Sisi enzi zetu tulikuwa tunapeana michongo ya kuzamia tu na dili za
Nje ya nchi
Vijana siku hizi wakikaa wao kutwa kuzungumzia matamasha ya wasanii na maisha yao,umbea,udaku

Ndomana kizaz cha vijana wa sasa kuna mashog wengi

Ova
 
hapana mkuu, ni fikra zako ziko mbele zaidi hata ya rika ulilo nalo
 
Sisi enzi zetu tulikuwa tunapeana michongo ya kuzamia tu na dili za
Nje ya nchi
Vijana siku hizi wakikaa wao kutwa kuzungumzia matamasha ya wasanii na maisha yao,umbea,udaku

Ndomana kizaz cha vijana wa sasa kuna mashog wengi

Ova
nakubali mkuu, madogo sas hivi wamejaa ujinga mwingi kupenda vitonga na ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…