Kwani, Walinzi wa Mbowe si walikamatwa na Sabaya mwenyewe? Inafikirisha sana

Kwani, Walinzi wa Mbowe si walikamatwa na Sabaya mwenyewe? Inafikirisha sana

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Kuna mambo ya ajabu sana ndani ya taifa hili, hivi bado kuna la kujiuliza kuhusu walinzi wa Mbowe ambao tunaambiwa nao wana tuhuma ya kesi ya Ugaidi?

Si ndio huyu huyu Sabaya wanaosema kwamba alikuwa anataka kuuawa na ndio yeye aliwakamata?

Yaani Sabaya huyu huyu akakamate waliotaka kumuua na kisha wapewe kesi ya ugaidi?

Nani asiyejua kuwa Sabaya walivamia usiku usiku alikolazwa Freeman Mbowe na kisha kuondoka na walinzi wake kisha baadae kuwapa kesi ya kutaka kumuua yeye?

Yaani huyu huyu Sabaya mwenye kesi ya uporaji mahakamani ndio alitaka kuuawa?

Haya maneno yake nani ayaamini?

Shahidi awe Ole Sabaya huyu huyu huyu tunayemjua?
 
Nani asiyejua kua Sabaya walivamia usiku usiku alikolazwa Freeman Mbowe na kisha kuondoka na walinzi wake kisha baadae kuwapa kesi ya kutaka kumuua yeye? Yaani huyu huyu Sabaya mwenye kesi ya uporaji mahakamani ndio ndio alitaka kuuawa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, mwamba ni Lengai Ole sayaba na sio huyo unaemtaka wewe

Hii nchi ni nongwa
 
Ni Sabaya huyu huyu tuliyeambiwa alikata mtu masikio ? Basi Mbowe alikuwa anaisaidia serikali kama alitaka kumuua
monkey_1f412.png
 
Naona hili lipicha Kuna watu wanataka kunawisha mikono yao ya dawa kwenye mwili wa Mbowe. Mzigo unazidi kuwaelemea hawajui wautue wapi!

Tukumbushane maneno haya ya
aliyetaka kuuwawa. "Nilifanya kutokana na maelekezo kutoka kwa wateuzi wangu."

Nakumbuka kipindi Mbowe akiwa mbunge wilaya ya hai alikuwa anaogopa hata kukutana na mkurugenzi kutokana na vitisho. Ilafikia mahali sabaya akaanza kulalamika Jimbo la Hai halina mbunge.

Lema kaenda kusalimia wazazi wake kafurumushwa kaambiwa sio Jimbo lake, wakati alienda nyumbani kwake kusalimia. Ina maana nyumbani usisalimie shangazi au mjomba au majirani?

Embu tukumbushane mapicha ya sabaya wakati anatekeleza maagizo ya uteuzi.

MBOWE SIO GAIDI.
 
Ndio maana wakili Peter kibatala ameiomba mahakama Lengai Sabaya awe Kama shahidi pamoja na IGP Sirro mashahidi upande wa utetezi hili ni picha la kutisha sana watoto wasiangalie 😄😄
... na hata walio kwenye siku zao wakae mbali; litawachefua mbaya!
 
Tuli
Kuna mambo ya ajabu sana ndani ya taifa hili, hivi bado kuna la kujiuliza kuhusu walinzi wa Mbowe ambao tunaambiwa nao wana tuhuma ya kesi ya Ugaidi?

Si ndio huyu huyu Sabaya wanaosema kwamba alikuwa anataka kuuawa na ndio yeye aliwakamata?

Yaani Sabaya huyu huyu akakamate waliotaka kumuua na kisha wapewe kesi ya ugaidi?

Nani asiyejua kuwa Sabaya walivamia usiku usiku alikolazwa Freeman Mbowe na kisha kuondoka na walinzi wake kisha baadae kuwapa kesi ya kutaka kumuua yeye?

Yaani huyu huyu Sabaya mwenye kesi ya uporaji mahakamani ndio alitaka kuuawa?

Haya maneno yake nani ayaamini?

Shahidi awe Ole Sabaya huyu huyu huyu tunayemjua?
Tuliza mshono,
Kama mnajua hivyo mbona mlikaa kimya tangu wakamatwe,
Mlikua mnaficha nini kulalama humu kuwa wameonewa?
 
Ndio maana wakili Peter kibatala ameiomba mahakama Lengai Sabaya awe Kama shahidi pamoja na IGP Sirro mashahidi upande wa utetezi hili ni picha la kutisha sana watoto wasiangalie 😄😄
Alafu kicha..aa shemasi kigogo anahoji kuitwa sabaya mahakamani!!
 
Hivi sabaya inamaana huko Hai na Moshi hakufanya vituko Kama vya Arusha? Au wanasubiria hukumu ya Arusha ikishatolewa akifika mlangoni wamdake akasomewe kesi nyingine za Mkoa wa Kilimanjaro.

Wachaga na msemo wao "mbuta" na akuje huku! Wakwe zangu msikubali akitoka kisongo anahamia karanga.
 
Back
Top Bottom