Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu nimekuelewa Sana but sizan my dearKuna watu mnajishaua tu hapa kujaza wenzenu ujinga!! Mtoa mada inaonekana huyo mtu wako hakuwa busy na Chochote,hivyo anapokuwa hana cha kumuweka busy ni lazima tu upweke wake ataamua aumalize kwako. Kama ni mtu ambae una future nae,mtafutie Kazi ya kufanya au biashara ambayo itamkeep busy hivyo hatakulalamikia tena!!,. Wanaokushauri kuwa Mwanamke haeleweki ni waongo! Mama zao walielewana vipi na baba zao??? Punguza Hasira,mrudie Mpendwa wako
[emoji3][emoji3][emoji3] daah kweli mkuu Hawa nihatar kwa afya ya binadamu wa kiumeMkuu "ukiona umeanza kuwaelewa wanawake ujue Israel anakaribia kutoa roho Yako",
ni Bora ulivyosema kua umuelewi Israel atakuacha kabisa hatokugusa
Wanawake hawajuagi wanataka nn
Polee hasira hazijapungua hadi sahivi?Nimevulugwa mkuu huyo sio mimi ni hasira za kuchefuliwa na mwanamke
Sawaa I hope ulilala vizuri usiku umeamka Leo upo vizuri kuendelea na majukumu yako.Mi huwa nikilala nikiamka hasira zimeshaisha nakuwa mweupee rohoni ila mbaka nilale lakin
Achana naye mkuuNimevulugwa mkuu huyo sio mimi ni hasira za kuchefuliwa na mwanamke
Hakuamin mwamba .. Configure Hy bongo yake ukiona haielew okoa Roho yakoKwanini mkuu [emoji3][emoji3]